Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SOKA: Ngassa ajifunga Free State

>Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa amesaini mkataba wa miaka mitatu wa kuichezea klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Ngassa ajiunga Free State ya Afrika Kusini

Mshambuliaji wa Yanga akiwapungia mashabiki wa timu hiyo baada ya kumalizika kwa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Azam juzi. Ngassa yuko njiani kutimkia Afrika Kusini kucheza soka la kulipwa. Picha na Anthony Siame.
Dar es Salaam. Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa amesaini mkataba wa miaka mitatu wa kuichezea klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini.Ngassa alifanya majaribio katika klabu hiyo ya Afrika Kusini alipokuwa na kikosi cha Taifa Stars nchini Botswana katikati ya mwaka jana.Katika...

 

10 years ago

GPL

NGASSA ASAINI MIAKA MINNE NA KLABU YA FREE STATE STARS YA AFRIKA KUSINI

Mrisho Ngassa akikabidhiwa jezi na Kocha wa Free State Stars, Kinnah Phiri leo, makao makuu ya klabu hiyo, Mtaa wa 22B President Boshoff mjini Bathlehem baada ya kusaini Mkataba wa miaka minne kuichezea timu hiyo. Na Mahmoud Zubeiry, BETHELEHEM KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Khalfan Ngassa amesaini Mkataba wa miaka minne kujiunga na klabu ya Free State Stars ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini leo.
Ngassa, mume...

 

10 years ago

Mwananchi

SOKA: Ngassa asaka nyumba Sauzi

>Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Ngassa amewasili nchini Afrika Kusini jana kusaka nyumba tayari kuanza maisha mapya katika klabu yake ya Free State Stars ya Bethlehem.

 

10 years ago

Daily News

State commits to free secondary schooling


State commits to free secondary schooling
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has reiterated the government's commitment to provide free education at both primary and secondary levels, to make education accessible to all school age children. Addressing diplomats accredited to the country at the New ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ngasa kujiunga na Free State mwezi July

Klabu ya Yanga itamkosa mshambuliaji wake,Mrisho Ngassa katika msimu wa ligi kuu na mechi za kimataifa mwakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Saratani:Mwanaharakati ajifunga nyororo

Asema serikali na jamii kwa jumla inapaswa kutoa raslimali zilizopo kununua vifaa vya tiba kwa wagonjwa ambao wanangojea tiba hadi mwaka 2017.

 

11 years ago

Michuzi

Wakiwezeshwa wanawake wanaweza: Msikilize Sauda Mwilima wa Radio Free Africa, Kiss FM na Star TV akitangaza soka

Ni kijana mdogo lakini maarufu sana katika Star TV,  hususan katika kipindi chake cha "Bongo Beat". Pia husikika katika Radio Free Africa na Kiss FM. Akifuata nyayo za dada yake Saida Mwilima aliyekuwa mtangazaji wa TBC kabla ya kuhamia Uingereza, Sauda hivi sasa anasikika pia akitangaza mpira (Bofya mshale mwekundu umsikie). Hongera sana mdogo wetu kwa juhudi zako na kazi nzuri. Hakika unaweza kabisa kuziba pengo aliloacha marehemu Halima Mchuka, mwanamke wa kwanza kutangaza soka nchini...

 

10 years ago

TheCitizen

The state of state-building in war-ravaged Somalia

A fence-mending deal signed this month by Somalia and Puntland has variously been hailed as a blueprint for stability and state-building in the wake of decades of civil war, and dismissed as a recipe for renewed inter-clan violence.

 

11 years ago

Michuzi

WADAU WA SOKA WAMUNZI MAREHEMU OMARY CHANGA KWA BONANZA LA SOKA

Wadau mbali mbali wa mchezi wa Soka jijini Dar es Salaam,leo wamekutana pamoja kwenye viwanja vya Tabata Shule katika Bonanza la kumuenzi Marehemu Omary Changa (pichani) aliyewahi kuwa Mchezaji katika timu za Yanga,JKT Ruvu,Kagera Suger pamoja na Moro United aliefariki dunia mwezi uliopita.Bonanza hilo limefanyika maalum kwa ajili ya kuchangisha fedha za kuisaidia familia ya Marehemu Changa ikiwa ni pamoja na kuweza kufanikisha kisomo cha Arobaini yake.  Mshambuliaji wa Pembeni wa timu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani