Ngassa asaini kucheza Afrika Kusini
Sasa ni rasmi, Mrisho Ngassa amemwaga wino kuichezea klabu ya Free State Stars ya Ligi Kuu Afrika Kusini kwa miaka minne .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiKOMd1GX7RU-lKxZGa4EuGsGgAUBNaP1NYBMmDK9PeZkla*c8vCuv-hMHrQ3QdkHXZLsqCu*PV3NHDhrm-ZrsGI/2.jpg)
NGASSA ASAINI MIAKA MINNE NA KLABU YA FREE STATE STARS YA AFRIKA KUSINI
Mrisho Ngassa akikabidhiwa jezi na Kocha wa Free State Stars, Kinnah Phiri leo, makao makuu ya klabu hiyo, Mtaa wa 22B President Boshoff mjini Bathlehem baada ya kusaini Mkataba wa miaka minne kuichezea timu hiyo. Na Mahmoud Zubeiry, BETHELEHEM KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Khalfan Ngassa amesaini Mkataba wa miaka minne kujiunga na klabu ya Free State Stars ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini leo.
Ngassa, mume...
10 years ago
Vijimambo10 May
Ngassa ajiunga Free State ya Afrika Kusini
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2710122/highRes/1008129/-/maxw/600/-/g8o4r0/-/ngassa.jpg)
Dar es Salaam. Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa amesaini mkataba wa miaka mitatu wa kuichezea klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini.Ngassa alifanya majaribio katika klabu hiyo ya Afrika Kusini alipokuwa na kikosi cha Taifa Stars nchini Botswana katikati ya mwaka jana.Katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HRXB3pTHxIot814mV9jV7wMGhakpAMMfpAOXarE797pU*MSUPfsiQpY*600YtWKfumn*0WRIOpsR2NdA68s3ekqwkAE6o83K/1.gif?width=650)
Ngassa asaini Sauz
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa. Na Wilbert Molandi,Dar es Salaam
HABARI ni kuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa amemalizana na Klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini inayoshiriki ligi kuu ya nchini humo. Hatua hiyo imekuja baada ya mchezaji huyo kusisitiza kuwa ataondoka klabuni hapo baada ya uongozi kutomlipia deni lake analodaiwa na benki.Wiki iliyopita kiungo huyo aliliambia gazeti hili kuwa yupo...
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Mtoto wa David Beckham asaini kucheza Arsenal
Ni ajabu, kwamba safari hii maji hayajafuata mkondo! Mtoto wa nyota wa zamani wa Manchester United na England, David Beckham, Brooklyn amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Arsenal.
11 years ago
Michuzi21 Feb
KALAMA NYILAWILA ASAINI MKATABA WA KUCHEZA NA BINGWA KATI YA MASHALI AU KASEBA MEI MOSI
Bondia Kalama Nyilawila ameingia...
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Sudan Kusini kucheza mechi ya kwanza Kombe la Dunia
Sudan Kusini inajiandaa kucheza mechi yake ya kwanza kabisa ya kufuzu kwa Kombe la Dunia itakapokutana na Mauritania Jumatano.
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Nyota wa ligi ya NBA kucheza Afrika
Wachezaji nyota wa ligi ya NBA wanatarajiwa kucheza barani Afrika katika mchezo wa kwanza mjini Johannesburg
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Lan-pcEuezY/VX0BU3apIjI/AAAAAAAHfSE/es9kYldeCic/s72-c/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI AFRIKA KUSINI KUHUDHURIA MKUTANO WA 25 WA UMOJA WA AFRIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Lan-pcEuezY/VX0BU3apIjI/AAAAAAAHfSE/es9kYldeCic/s640/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-f6T41KzEiUg/VX0BUzf7sgI/AAAAAAAHfSA/IDRjfqJw3t8/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
10 years ago
MichuziAFRIKA KUSINI WATWAA UBINGWA WA SAFARI POOL AFRIKA 2014
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania