Sudan Kusini kucheza mechi ya kwanza Kombe la Dunia
Sudan Kusini inajiandaa kucheza mechi yake ya kwanza kabisa ya kufuzu kwa Kombe la Dunia itakapokutana na Mauritania Jumatano.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
Marekani kucheza fainali Kombe la Dunia
9 years ago
StarTV07 Nov
 Kombe la Dunia U-17: Mali, Nigeria kucheza fainali Jumapili.
Hatimaye ndoto ya timu mbili za Afrika kucheza fainali ya kombe la dunia chini ya umri wa miaka 17 imetimia baada ya timu za taifa za Mali na Nigeria Golden Eaglets kushinda mechi kwa vipigo vizito na kutinga fainali ya michuano hiyo nchini Chile.
Timu ya taifa ya Mali imetinga fainali hiyo kwa mara ya kwanza baada kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Ubeligiji iliyokuwa ya kwanza kujipataia bao kupitia Jorn Vancamp baada ya kuihadaa ngome ya Mali na likiwa ni bao la kwanza kufungwa...
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Idris adai Tanzania imewahi kucheza Kombe la Dunia
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Matokeo ya michezo ya jana ya kufuzu kucheza kombe la dunia Urusi 2018
Kikosi cha timu ya Taifa, Taifa Stars. Timu yetu ya Taifa Stars iliyochezwa jana usiku imeweza kufuta ndoto zake za kusonga mbele baada ya kupata matokeo mabaya zaidi kwa kufungwa 5-0, bao ambazo zinafanya matokeo kuwa 7-2, dhidi ya mabao ambayo Stars iliweza kuyapata awali mchezo uliochezwa nchini na kutoka sare ya 2-2.
CONMEBOL – Amerika Kusini
Columbia 0 – 1 Argentina
Venezuela 1 – 3 Bolivia
Paraguay 2 – 1 Bolivia
Uruguay 3 – 0 Chile
Brazil 3 – 0 Peru
CAF – Afrika
Rwanda 1 – 3 Libya
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--G_B8490YJc/U6lVnIG-oRI/AAAAAAAFslw/pKwN53OEGRo/s72-c/unnamed.png)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRmMCzzacTT2ClcsH4qzTpCbOMzb0JiMOT3IhfbNvYFirOGMw*gVqh0dqlLOWOo3glxtlxIaMMnHKDl4Yzp1sy4K/unnamed1.png?width=600)
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Kenya na TZ zashinda mechi za kufuzu Kombe la Dunia
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Ratiba ya Mechi za Kombe la Dunia iko hapa
2014fwc Matchschedule Wgroups 22042014 en Neutral by moblog
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
Mechi 14 za kufuzu kwa kombe la dunia leo