Idris adai Tanzania imewahi kucheza Kombe la Dunia
Baada ya kuishiwa pointi ya kuchangia wakati wenzake wakizungumzia mpira wa miguu na jinsi nchi za Afrika zinavyoboroka katika mashindano ya kimataifa, mwakilishi wa Tanzania, Idris aliamua kutibua maongezi hayo kwa kusema Tanzania imewahi kucheza Kombe la Dunia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
Marekani kucheza fainali Kombe la Dunia
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Sudan Kusini kucheza mechi ya kwanza Kombe la Dunia
9 years ago
StarTV07 Nov
 Kombe la Dunia U-17: Mali, Nigeria kucheza fainali Jumapili.
Hatimaye ndoto ya timu mbili za Afrika kucheza fainali ya kombe la dunia chini ya umri wa miaka 17 imetimia baada ya timu za taifa za Mali na Nigeria Golden Eaglets kushinda mechi kwa vipigo vizito na kutinga fainali ya michuano hiyo nchini Chile.
Timu ya taifa ya Mali imetinga fainali hiyo kwa mara ya kwanza baada kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Ubeligiji iliyokuwa ya kwanza kujipataia bao kupitia Jorn Vancamp baada ya kuihadaa ngome ya Mali na likiwa ni bao la kwanza kufungwa...
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Matokeo ya michezo ya jana ya kufuzu kucheza kombe la dunia Urusi 2018
Kikosi cha timu ya Taifa, Taifa Stars. Timu yetu ya Taifa Stars iliyochezwa jana usiku imeweza kufuta ndoto zake za kusonga mbele baada ya kupata matokeo mabaya zaidi kwa kufungwa 5-0, bao ambazo zinafanya matokeo kuwa 7-2, dhidi ya mabao ambayo Stars iliweza kuyapata awali mchezo uliochezwa nchini na kutoka sare ya 2-2.
CONMEBOL – Amerika Kusini
Columbia 0 – 1 Argentina
Venezuela 1 – 3 Bolivia
Paraguay 2 – 1 Bolivia
Uruguay 3 – 0 Chile
Brazil 3 – 0 Peru
CAF – Afrika
Rwanda 1 – 3 Libya
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Tanzania watwaa Kombe la Dunia
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mgKoCPdSLZk/U5rSYuwNOvI/AAAAAAAFqVA/t1-kVtZcJlA/s72-c/unnamed+(4).jpg)
WABRAZILI WALIOPO TANZANIA WASHEREKEA UZINDUZI WA KOMBE LA DUNIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-mgKoCPdSLZk/U5rSYuwNOvI/AAAAAAAFqVA/t1-kVtZcJlA/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LifI8aD7QWo/U5rSYv4OVfI/AAAAAAAFqVE/AmyawUF92wQ/s1600/unnamed+(5).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IlN0UevPKmaORCaPHcjTv8XcxkjJysyB2az*X*fYkLlqefv*1I6qBed-Gfu68rGjbGwyknfJ6K8Ylsl6N6rkfm3TBlMSvWVL/watotowamitaani.jpg?width=650)
TIMU YA WATOTO WA MITAANI YA TANZANIA YATWAA KOMBE LA DUNIA BRAZIL
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Al Ahly kucheza Kombe la Shirikisho
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Mfaransa Sean Garnier aja Tanzania kuonyesha umahiri wa kucheza mpira wa mtaani huku akibinuka sarakasi na kucheza dansi
![](http://4.bp.blogspot.com/-QPs1TCNPQ_s/U7SMT4j_A3I/AAAAAAAA8q4/sZAuSqbdn_o/s1600/IMG_0323.jpg)
Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohan’s John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MC27xq5WgXg/U7SMj-6jXtI/AAAAAAAA8rI/HFjggw3kBL0/s1600/IMG_0331.jpg)
Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya...