WABRAZILI WALIOPO TANZANIA WASHEREKEA UZINDUZI WA KOMBE LA DUNIA
.jpg)
Balozi wa Brazili Tanzania Mhe. Francisco Carlos na Mkewe wakisheherekea uzinduzi wa Kombe la Dunia ambalo limeanza usiku wa kuamkia leo. Balozi huyo aliandaa tafrija katika hoteli ya Serena ambapo Wabrazili waishio Tanzania walishiriki pamoja na marafiki mbalimbali
Balozi wa Brazili hapa Tanzania Bw Frcisco Carlos akibadilishana mawazo na Rosalie Lehel kutoka IFAD ambaye alikuwa miongoni mwawageni walio alikwa katika kusheherekea uzinduzi wa kombe la dunia ambao linafanyika nchini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Pitbull ang’ara uzinduzi Kombe la Dunia 2014
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Tanzania watwaa Kombe la Dunia
11 years ago
Mwananchi28 Oct
Idris adai Tanzania imewahi kucheza Kombe la Dunia
11 years ago
GPL
TIMU YA WATOTO WA MITAANI YA TANZANIA YATWAA KOMBE LA DUNIA BRAZIL
11 years ago
Michuzi
Mwigizaji JB atia fora katika uzinduzi wa ripoti ya benki ya dunia kuhusu ajira zenye tija tanzania



9 years ago
Michuzi09 Nov
UZINDUZI KOMBE LA SHIRIKISHO LEO

9 years ago
StarTV30 Dec
Serikali, UNHCR kuendelea kuwahifadhi Wakimbizi Waliopo Tanzania
Serikali ya Tanzania imesema itashirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi UNHCR kuhakikisha inalinda na kuwahifadhi wakimbizi waliopo hapa nchini hadi watakapokuwa tayari kurejea kwa hiari katika nchi zao.
Katika ziara ya kiserikali mkoani Kigoma, Waziri mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa ametembelea baadhi ya kambi zinazohifadhi wakimbizi wa Burundi na Jamhuri ya watu wa Kongo akisema Serikali inatambua maridhiano ya umoja wa mataifa katika kuwahifadhi...
10 years ago
MichuziUzinduzi wa Bonaza Kombe la Masauni Viwanja vya Mnazi Mmoja Zanzibar
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10