Pitbull ang’ara uzinduzi Kombe la Dunia 2014
Kama uliangalia ufunguzi wa Kombe la Dunia ulipata bahati ya kumwona mwanamuziki Armando Christian Pérez mwenye umri wa miaka 33 ambaye jina lake la jukwaani anaitwa Pitbull, rapa mahiri kutoka nchini Marekani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Waafrika vijana watakaong’ara Kombe la Dunia 2014
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PBmwSaION7Q/VME5NKDfkJI/AAAAAAAG_Fc/Qg-jD3OLciY/s72-c/Evening%2BGown.jpg)
MREMBO WA TANZANIA KATIKA MASHINDANI YA DUNIA YA MISS UNIVERSE ANG’ARA NA VAZI LA TAIFA
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Mrembo wa Tanzania katika mashindano ya dunia ya Miss Universe ang’ara na vazi la taifa
Miss Universe ndani ya vazi la jioni.
Mashindano ya awali (Preliminary show) ya fainali za kumtafuta mrembo wa Miss Universe Kimataifa huko jijini Doral, Miami-Marekani yamefanyika jana tarehe 21 huku jumla ya warembo 88 kutoka nchi tofauti duniani wakipita na mavazi ya Kitaifa(National Costume), ufukweni(Swim Suit) na magauni ya usiku(Evening gown). Mrembo wa Tanzania, Nale Boniface ni mmoja wa washiriki wa mashindano hayo ambapo fainali zake zitahitimishwa jumapili, januari 25 huko...
11 years ago
Mwananchi09 Jun
BRAZIL 2014: Diego sasa shwari, ang’ara dhidi ya El Salvador
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mgKoCPdSLZk/U5rSYuwNOvI/AAAAAAAFqVA/t1-kVtZcJlA/s72-c/unnamed+(4).jpg)
WABRAZILI WALIOPO TANZANIA WASHEREKEA UZINDUZI WA KOMBE LA DUNIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-mgKoCPdSLZk/U5rSYuwNOvI/AAAAAAAFqVA/t1-kVtZcJlA/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LifI8aD7QWo/U5rSYv4OVfI/AAAAAAAFqVE/AmyawUF92wQ/s1600/unnamed+(5).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC3xY8dpaHm57Y0N6pSMKZCaKrSh1jckLhYXMSCr-vEcvHMs0EZ*sUGvHdHdIKUzzHF*AMA-GhxQK3oi8nTtJTUk/4.gif?width=750)
11 years ago
BBCSwahili28 May
Miji ya Kombe la dunia 2014
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRmMCzzacTT2ClcsH4qzTpCbOMzb0JiMOT3IhfbNvYFirOGMw*gVqh0dqlLOWOo3glxtlxIaMMnHKDl4Yzp1sy4K/unnamed1.png?width=600)
11 years ago
Dewji Blog28 Jun
Vijimambo vya Kombe la Dunia Brazil 2014
Na Eleuteri Mangi-Maelezo
Mashindano ya soka kombe la dunia yanaendelea kunoga na kupamba moto nchini Brazil yakijumuisha jumla ya wachezaji 892 wanaoshiriki mashindano wa mpira wa miguu duniani maarufu “Fifa World Cup” ya mwaka 2014.
Mashindano hayo yamepambwa na majina ya mbalimbali ya wachezaji kutoka nchi zinzoshiriki kinyang’anyiro hicho kwa mwaka huu.
Kwa mujibu wa mtandao wa FIFA, wachezaji wenye majina yenye herufi “M” ndio wanaoongoza kwa idadi kubwa katika michuano hiyo ambao...