Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miji ya Kombe la dunia 2014

Brasilia mji mkuu wa Brazil ni moja ya miji ambako mechi za kombe la dunia zitafanyika. Vinjari mji huu:

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

11 years ago

Michuzi

Germany mabinwga wapya wa kombe la dunia 2014

 Germany ndio mabingwa wa kombe la Dunia  2014 FIFA World Cup, wakinyakua kombe kwa mara ya nne katika historia yao baada ya kuwashinda  Argentina 1-0 kwa bao la muda wa nyoingeza la  Mario Gotze (pichani juu kushoto) katika uwanja wa Maracana huko Rio de Janeiro.
Mchezaji huyo aliyeingia kama mchezaji wa akiba aliweza kuua uwezekano wa kupigiana penati kwa bao lake la uamuzi baada ya timu hizo kutoka suluhu hadi mapumziko katika mchezo uliojaa kila aina ya msisimko. Bao lake hilo...

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Dhambi za Kombe la Dunia zisizosahaulika

Katika maisha ya sasa uliyowahi kuyaona, kuna watu wema na wabaya. Vituko katika fainali za Kombe la Dunia haviepukiki.

 

11 years ago

Mwananchi

Takwimu muhimu za vikosi Kombe la Dunia 2014

Fainali za Kombe la Dunia zinaanza leo huku wachezaji 736 wakishiriki, wakiwamo 28 ambao watakuwa wakicheza kwa mara ya kwanza kwenye michuano hiyo mikubwa katika soka duniani.

 

11 years ago

Mwananchi

Mikato ya nywele ya ajabu Kombe la Dunia 2014

Kombe la dunia ni tukio kubwa zaidi la soka duniani. Fainali za Kombe la 2014 ambazo zilianza Juni 12 tayari zimemalizika Julai 13 wiki iliyopita huku timu ya Ujerumani ikitawazwa kuwa mabingwa wapya wa soka duniani.

 

11 years ago

GPL

KIKOSI CHA UHOLANZI KOMBE LA DUNIA 2014

Goalkeepers: Jasper Cillessen (Ajax), Tim Krul (Newcastle), Michel Vorm (Swansea), Jeroen Zoet (PSV Eindhoven).
Defenders: Daley Blind, Joel Veltman (both Ajax), Stefan de Vrij, Daryl Janmaat, Terence Kongolo, Bruno Martins Indi, Tonny Vilhena (all Feyenoord), Karim Rekik (PSV Eindhoven - on loan from Manchester City), Patrick van Aanholt (Vitesse Arnhem), Paul Verhaegh (FC Augsburg), Ron Vlaar (Aston Villa). Midfielders: Jordy...

 

11 years ago

GPL

UHOLANZI YASHIKA NAFASI YA 3 KOMBE LA DUNIA 2014

Wachezaji wa Uholanzi wakipozi na medali zako baada ya kushika nafasi ya tatu Kombe la Dunia 2014. Robin van Persie akiifungia Uholanzi bao la kwanza kwa mkwaju wa penalti katika dakika ya tatu ya mchezo.…

 

11 years ago

Dewji Blog

Vijimambo vya Kombe la Dunia Brazil 2014

2014-FIFA-World-Cup-Brazil

Na Eleuteri Mangi-Maelezo

Mashindano ya soka kombe la dunia yanaendelea kunoga na kupamba moto nchini Brazil yakijumuisha jumla ya wachezaji 892 wanaoshiriki mashindano wa mpira wa miguu duniani maarufu “Fifa World Cup” ya mwaka 2014.

Mashindano hayo yamepambwa na majina ya mbalimbali ya wachezaji kutoka nchi zinzoshiriki kinyang’anyiro hicho kwa mwaka huu.

Kwa mujibu wa mtandao wa FIFA, wachezaji wenye majina yenye herufi “M” ndio wanaoongoza kwa idadi kubwa katika michuano hiyo ambao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani