Germany mabinwga wapya wa kombe la dunia 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-r0TrZXJaMhw/U8NkDwa9TlI/AAAAAAAF1_M/wByJUh7neF8/s72-c/2404986_xbig-lnd.jpg)
Germany ndio mabingwa wa kombe la Dunia 2014 FIFA World Cup, wakinyakua kombe kwa mara ya nne katika historia yao baada ya kuwashinda Argentina 1-0 kwa bao la muda wa nyoingeza la Mario Gotze (pichani juu kushoto) katika uwanja wa Maracana huko Rio de Janeiro.
Mchezaji huyo aliyeingia kama mchezaji wa akiba aliweza kuua uwezekano wa kupigiana penati kwa bao lake la uamuzi baada ya timu hizo kutoka suluhu hadi mapumziko katika mchezo uliojaa kila aina ya msisimko. Bao lake hilo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog13 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--b9lIQ1OleA/U58ak6-uOuI/AAAAAAAFrHI/eUAlg7z4rA4/s72-c/images.jpg)
ANGALIA MECHI ZA KOMBE LA DUNIA LIVE SASA - PORTUGAL VS GERMANY
![](http://2.bp.blogspot.com/--b9lIQ1OleA/U58ak6-uOuI/AAAAAAAFrHI/eUAlg7z4rA4/s1600/images.jpg)
KUANGALIA MTANANGE HUU LIVE MTANDAONI BOFYA HAPA
Angalizo: Cheki ratiba hapo chini kujua muda na mechi zitazochezwa badae
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPvIfB3Dsc1vuxGB8ZPLQCnMK8k2tLw2Ca7frd4Q*5GJMwt3EFC-L8NueUB6Zqp3zEYQ8wnqYs*8dSEKjqAxY1gZ/brazilvsgermany.jpg?width=650)
11 years ago
Michuzi03 Mar
Timu ya Man City Mabingwa wapya wa Kombe la Capital One 2014
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/UEYRPLFIkk3W09wuZtCymjzuCQeLKIAJOblfvREcxSsOlKwdqLgXzX8aIiSkXpmRmTax8yrRwLD7Ujjytu2h8l7xk8mzz-qAsdH9529nHL6yEDyrFQRO8XvcWYDJq-VtTUkbBZqpsi4x-mUkwcKs-7VjmrLEu6kIu50-_594r-qljUyL6m_HYH93oZ-pZUf9l6il5d83jIURB84ncV7ovdPEZ3VJWh_AIlcL2VuG22TtzLM2Z1xfETBmGJuEYSVXiaXYTkWvHpyru0sm8ce1D7ay1yq1h2y7S8klX8V2X_fvgcfKoWygPOe1avNcOt1cdhO_Qg1va981qJXXWSiua2pVPZfm3v_09zxaX3RLvcjwfZDumZBa3V52Tk7n80QB=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fi4.mirror.co.uk%2Fincoming%2Farticle3199639.ece%2FALTERNATES%2Fs2197%2FManchester-City-v-Sunderland-Capital-One-Final-3199639.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Katika mchezo huo uliokuwa ni mkali na wa kuvutia,Timu ya Sunderland ndio iliyokuwa ya kwanza kuona lango la Manchester City mnamo dakika ya 10 ya mchezo kupitia kwa Mchezaji wake,Fabio Borini katika kipindi cha kwanza.
Kipindi cha pili kilianza kwa kasi na Timu ya Manchester City...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC3xY8dpaHm57Y0N6pSMKZCaKrSh1jckLhYXMSCr-vEcvHMs0EZ*sUGvHdHdIKUzzHF*AMA-GhxQK3oi8nTtJTUk/4.gif?width=750)
11 years ago
BBCSwahili28 May
Miji ya Kombe la dunia 2014
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRmMCzzacTT2ClcsH4qzTpCbOMzb0JiMOT3IhfbNvYFirOGMw*gVqh0dqlLOWOo3glxtlxIaMMnHKDl4Yzp1sy4K/unnamed1.png?width=600)
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Mikato ya nywele ya ajabu Kombe la Dunia 2014
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CqS1OBCzBfKfVG6MWerGTW1ZK2EaOkLl6rFH8QLyKNdj-2dFZ5hfJ5jID37FMTWcQ9qGfHYmFIcRKUHf70TzNxz/1.jpg)
UHOLANZI YASHIKA NAFASI YA 3 KOMBE LA DUNIA 2014