Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Takwimu muhimu za vikosi Kombe la Dunia 2014

Fainali za Kombe la Dunia zinaanza leo huku wachezaji 736 wakishiriki, wakiwamo 28 ambao watakuwa wakicheza kwa mara ya kwanza kwenye michuano hiyo mikubwa katika soka duniani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

PATA VIKOSI VYA KILA TIMU KATIKA KOMBE LA DUNIA 2014







KUNDI A Brazil
Makipa: Julio Cesar (Toronto FC, Mkopo toka QPR), Jefferson (Botafogo), Victor (Atletico Mineiro). Mabeki: Dani Alves (Barcelona), Maicon (Roma), David Luiz (Chelsea), Thiago Silva (PSG), Dante (Bayern Munich), Marcelo (Real Madrid), Henrique (Napoli), Maxwell (PSG). Viungo: Oscar (Chelsea), Fernandinho (Man City), Willian (Chelsea), Paulinho (Spurs), Ramires (Chelsea), Luis Gustavo (Wolfsburg), Hernanes (Inter Milan). Mafowadi: Bernard (Shakhtar Donetsk),...

 

11 years ago

Mwananchi

Mambo 20 muhimu kuhusu Kombe la Dunia

1 — Mechi zote za Kombe la Dunia 1930 nchini Uruguay zilichezwa kwenye jiji moja: Montevideo.

 

11 years ago

GPL

11 years ago

BBCSwahili

Miji ya Kombe la dunia 2014

Brasilia mji mkuu wa Brazil ni moja ya miji ambako mechi za kombe la dunia zitafanyika. Vinjari mji huu:

 

11 years ago

Michuzi

Germany mabinwga wapya wa kombe la dunia 2014

 Germany ndio mabingwa wa kombe la Dunia  2014 FIFA World Cup, wakinyakua kombe kwa mara ya nne katika historia yao baada ya kuwashinda  Argentina 1-0 kwa bao la muda wa nyoingeza la  Mario Gotze (pichani juu kushoto) katika uwanja wa Maracana huko Rio de Janeiro.
Mchezaji huyo aliyeingia kama mchezaji wa akiba aliweza kuua uwezekano wa kupigiana penati kwa bao lake la uamuzi baada ya timu hizo kutoka suluhu hadi mapumziko katika mchezo uliojaa kila aina ya msisimko. Bao lake hilo...

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Dhambi za Kombe la Dunia zisizosahaulika

Katika maisha ya sasa uliyowahi kuyaona, kuna watu wema na wabaya. Vituko katika fainali za Kombe la Dunia haviepukiki.

 

11 years ago

GPL

UHOLANZI YASHIKA NAFASI YA 3 KOMBE LA DUNIA 2014

Wachezaji wa Uholanzi wakipozi na medali zako baada ya kushika nafasi ya tatu Kombe la Dunia 2014. Robin van Persie akiifungia Uholanzi bao la kwanza kwa mkwaju wa penalti katika dakika ya tatu ya mchezo.…

 

11 years ago

GPL

KIKOSI CHA UHOLANZI KOMBE LA DUNIA 2014

Goalkeepers: Jasper Cillessen (Ajax), Tim Krul (Newcastle), Michel Vorm (Swansea), Jeroen Zoet (PSV Eindhoven).
Defenders: Daley Blind, Joel Veltman (both Ajax), Stefan de Vrij, Daryl Janmaat, Terence Kongolo, Bruno Martins Indi, Tonny Vilhena (all Feyenoord), Karim Rekik (PSV Eindhoven - on loan from Manchester City), Patrick van Aanholt (Vitesse Arnhem), Paul Verhaegh (FC Augsburg), Ron Vlaar (Aston Villa). Midfielders: Jordy...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani