Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mambo 20 muhimu kuhusu Kombe la Dunia

1 — Mechi zote za Kombe la Dunia 1930 nchini Uruguay zilichezwa kwenye jiji moja: Montevideo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Takwimu muhimu za vikosi Kombe la Dunia 2014

Fainali za Kombe la Dunia zinaanza leo huku wachezaji 736 wakishiriki, wakiwamo 28 ambao watakuwa wakicheza kwa mara ya kwanza kwenye michuano hiyo mikubwa katika soka duniani.

 

9 years ago

GPL

FAHAMU MAMBO MUHIMU KUHUSU VVU/ UKIMWI

Wiki hii tunachambua Virusi vya Ukimwi (VVU) na ugonjwa wenyewe, tutaangalia hatua kwa hatua hadi mgonjwa anaonekana kuwa ana Ukosefu wa Kinga Mwilini (Ukimwi). Ili mtu ajulikane kuwa ana VVU /Ukimwi, atapitia hatua nne za lazima kama nitakavyoziainisha.
Hatua ya kwanza hujulikana kitaalam kama Primary HIV Infection ambapo mgonjwa hudumu nayo kwa wiki nne baada ya maambukizi. Watu walio katika maambuki katika hatua hii ni...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mambo matano muhimu kuhusu virusi vya corona

Mambo muhimu unayopaswa kufahamu kuhusu mlipuko wa virusi vya corona.

 

11 years ago

BBCSwahili

Onyo kwa wakenya kuhusu kombe la dunia

Serikali ya Kenya imewatahadharisha wananchi kuhusu usalama wao wakati huu wanapotazama michuano ya kombe la dunia.

 

11 years ago

GPL

Soma anachosema Mourinho kuhusu Kombe la Dunia

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho. KOMBE la Dunia 2014 limeanza jana, Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amefunguka mengi kuhusu maoni yake kuhusu michuano hiyo.

Nani atatwaa ubingwa?
Nitashangazwa kama kutakuwa na matokeo ya kushangaza. Sidhani kama kuna timu itatwaa ubingwa kwa mara ya kwanza, sijaona taifa lenye moyo huo na nguvu ya aina hiyo.
Wale wa Bara la Amerika Kusini wapo vizuri na kuna timu mbili au tatu zipo safi....

 

11 years ago

BBCSwahili

FIFA yaonya Brazil kuhusu maandalizi ya kombe la dunia

FIFA imetoa onyo kwa Brazil kuwa Curitiba huenda ukaondolewa miongoni mwa miji itakayoandaa fainali ya kombe la dunia kutokana na kuchelewesha kwa ujenzi

 

10 years ago

Vijimambo

Mada kuhusu mwenendo wa bei za mafuta katika soko la dunia na athari zake kwa nchi yawasilishwa kwa maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje


Bw. Allan William mtaalamu wa sekta za kibenki nchini, akizungumza katika mhadhara na Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa juu ya Mwenendo wa bei za mafuta duniani na athari zake kwa nchi yetu, mhadhara huo umefanyika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa JNICC uliopo jijini Dar es Salaam mapema leo Asubuhi.

Balozi Simba Yahaya, Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati (wa kwanza kulia), Balozi Mbelwa Kairuki (wa pili kutoka kulia), Mkurugenzi wa Idara ya Asia na...

 

11 years ago

Mwananchi

Mambo muhimu ya kuzingatia uzazi salama

Uzazi ni suala la msingi linalotawala viumbe vyote vilivyo hai duniani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani