Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Onyo kwa wakenya kuhusu kombe la dunia

Serikali ya Kenya imewatahadharisha wananchi kuhusu usalama wao wakati huu wanapotazama michuano ya kombe la dunia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mambo 20 muhimu kuhusu Kombe la Dunia

1 — Mechi zote za Kombe la Dunia 1930 nchini Uruguay zilichezwa kwenye jiji moja: Montevideo.

 

11 years ago

GPL

Soma anachosema Mourinho kuhusu Kombe la Dunia

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho. KOMBE la Dunia 2014 limeanza jana, Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amefunguka mengi kuhusu maoni yake kuhusu michuano hiyo.

Nani atatwaa ubingwa?
Nitashangazwa kama kutakuwa na matokeo ya kushangaza. Sidhani kama kuna timu itatwaa ubingwa kwa mara ya kwanza, sijaona taifa lenye moyo huo na nguvu ya aina hiyo.
Wale wa Bara la Amerika Kusini wapo vizuri na kuna timu mbili au tatu zipo safi....

 

11 years ago

BBCSwahili

FIFA yaonya Brazil kuhusu maandalizi ya kombe la dunia

FIFA imetoa onyo kwa Brazil kuwa Curitiba huenda ukaondolewa miongoni mwa miji itakayoandaa fainali ya kombe la dunia kutokana na kuchelewesha kwa ujenzi

 

11 years ago

BBCSwahili

Onyo kwa EAC kuhusu sarafu

Shirika la fedha duniani limeonya jumuiya ya Afrika Mashariki dhidi ya kuharakisha mpango wake wa kutaka kuwa na sarafu moja

 

9 years ago

Mwananchi

NEC yatoa onyo kwa Lowassa kuhusu udini

Siku moja baada ya mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa kukaririwa na baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii akidaiwa kuwataka waumini wa Kilutheri kumchagua, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeonya kitendo hicho huku ikitishia kumzuia kuendelea na kampeni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la dunia kwa wanawake

Michuano ya kombe la dunia la wanawake,inaendelea huko canada katika miji tofauti tofauti.

 

11 years ago

Habarileo

Kombe la Dunia kero kwa wanawake

BAADHI ya wanawake walioolewa na wale wanaoishi kinyumba wakiwa wakazi wa mji wa Sumbawanga, wameshukuru fainali za Kombe la Dunia zinaelekea ukingoni. Ujerumani na Argentina watapambana katika mchezo wa fainali Jumapili.

 

11 years ago

GPL

RAIS KENYATTA AIPELEKA HARAMBEE STARS BRAZIL KWA ZIARA YA MAFUNZO KWA KUSHUHUDIA KOMBE LA DUNIA

Rais wa Kenya,Uhuru Kenyatta akitoa hotuba yake katika Ikulu ya Nairobi wakati wa hafla ya kuiaga timu ya Taifa ya Kenya Harambee Stars aliyoipa ofa ya kwenda ziara ya mafunzo kwenye Kombe la Dunia nchini Brazil.
Rais Kenyatta akiongea na wachezaji wa Harambee Stars.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani