Onyo kwa EAC kuhusu sarafu
Shirika la fedha duniani limeonya jumuiya ya Afrika Mashariki dhidi ya kuharakisha mpango wake wa kutaka kuwa na sarafu moja
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Jan
EAC inajifunza nini kwa sarafu ya EU?
11 years ago
BBCSwahili20 Jun
Onyo kwa wakenya kuhusu kombe la dunia
9 years ago
Mwananchi09 Sep
NEC yatoa onyo kwa Lowassa kuhusu udini
11 years ago
Mwananchi11 Mar
EAC sasa kutumia sarafu za ndani
11 years ago
Habarileo09 Apr
Ukosefu wa sarafu moja EAC tatizo kiuchumi
IMEELEZWA kuwa kutokuwepo kwa matumizi ya sarafu moja katika soko la pamoja la Afrika Mashariki kumeleta athari kubwa zitokanazo na matumizi makubwa ya fedha za kigeni katika nchi wanachama wa jumuia hizo.
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Sarafu moja itakavyoimarisha uchumi nchi wanachama EAC
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cDmxxQu1uFc/VUEI4MUY-2I/AAAAAAAHUJQ/ODVzSkRgigw/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.31.41%2BPM.png)
BENKI KUU YATOA TAARIFA KUHUSU upotoshaji unaoendelea juu ya Sarafu ya sh. 500/=
![](http://2.bp.blogspot.com/-cDmxxQu1uFc/VUEI4MUY-2I/AAAAAAAHUJQ/ODVzSkRgigw/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.31.41%2BPM.png)
Pia ndivyo ilivyoelezwa wakati wa uzinduzi wa sarafu hii mnamo mwezi Septemba mwaka jana kabla haijaingizwa katika mzunguko mwezi Oktoba 2014.
Bw. Kobello amesema hadi sasa sarafu zenye thamani ya sh. 1,162,000,000/- zimekwishasambazwa kote nchini na kwamba kuna kiasi cha kutosha cha sarafu hiyo endapo itahitajika.
“Hakuna...
11 years ago
BBCSwahili12 May
Onyo kuhusu mkanyagano DRC
11 years ago
Dewji Blog17 Jun
Onyo kuhusu utapeli wa ajira katika kampuni ya Tigo
Tumepata taarifa kwamba kuna baadhi ya watu wasiowaaminifu wanaojifanya wafanyakazi wa kampuni ya Tigo na kutumia mwanya huo kuwadanganya wananchi kujaza fomu feki kama njia ya kupata ajira katika kampuni yetu. Inadaiwa kwamba kila fomu inatozwa kiasi cha TZS 20,000 (Shilingi elfu ishirini).
Tigo inapenda kuwataarifu wale wote wanaotafuta ajira katika kampuni yetu na umma kwa ujumla kwamba hakuna fomu za aina hii zinazotolewa kutoka mawakala, matawi au idara yoyote ya kampuni yetu....