EAC inajifunza nini kwa sarafu ya EU?
>Mwishoni mwa Novemba mwaka jana, kikao cha 15 cha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) jijini Kampala Uganda kilikubaliana kusaini mkataba wa kuanzisha mchakato wa kuwa na sarafu moja itakayotumika katika nchi zote wanachama wa jumuiya hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Miaka 10 ya Tsunami, Tanzania inajifunza nini?
11 years ago
BBCSwahili07 Jan
Onyo kwa EAC kuhusu sarafu
11 years ago
Mwananchi11 Mar
EAC sasa kutumia sarafu za ndani
11 years ago
Habarileo09 Apr
Ukosefu wa sarafu moja EAC tatizo kiuchumi
IMEELEZWA kuwa kutokuwepo kwa matumizi ya sarafu moja katika soko la pamoja la Afrika Mashariki kumeleta athari kubwa zitokanazo na matumizi makubwa ya fedha za kigeni katika nchi wanachama wa jumuia hizo.
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Sarafu moja itakavyoimarisha uchumi nchi wanachama EAC
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Sarafu ya 500/- ni kuporomoka kwa shilingi?
TAKRIBANI wiki mbili zimepita tangu sarafu ya sh. 500 zilipoingia kwenye mzunguko wa fedha na kuanza kutumika baada ya mchakato wa kubadilisha fedha hizo kutoka kwenye noti kwenda kwenye sarafu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yc0YRqadUvo/VAxGdvAvicI/AAAAAAAGg78/0wQ4i11_y_Y/s72-c/IMG-20140907-WA0001.jpg)
TAARIFA KWA UMMA: TOLEO LA SARAFU YA SHILINGI MIA TANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-yc0YRqadUvo/VAxGdvAvicI/AAAAAAAGg78/0wQ4i11_y_Y/s1600/IMG-20140907-WA0001.jpg)
Hii hulenga kurahisisha upatikanaji wa chenji na uwezekano wa wahitaji wa viwango mbalimbali vya bidhaa na huduma kupata katika mafungu yatakayokidhi mahitaji...
10 years ago
Vijimambo09 Apr
Wasomali walalama kufungwa kwa mashirika kumi na tatu ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/06/150406100153_kenya_soldier_512x288_getty_nocredit.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/06/150406123126_kenya_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Jamii ya wasomali nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali nchini humo kufunga mashirika kumi na tatu ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni na usafirishaji pesa maarufu kama Hawala.
Malalamishi yao ni kuwa hatua hiyo itasababisha matatizo makubwa kwa wasomali ambao daima wanategemea njia hiyo, kuwatumia jamaa zao fedha kutoka mataifa ya kigeni.
Hatua hiyo...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Kwa wenye sarafu, noma, na wenye masurufu, neema