Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasomali walalama kufungwa kwa mashirika kumi na tatu ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni

Kenya imefunga mashirika 13 na akaunti 86 za watu wanaodhaniwa kufadhili Al ShabaabWasomali walalama kufungwa kwa Hawala Kenya
Jamii ya wasomali nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali nchini humo kufunga mashirika kumi na tatu ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni na usafirishaji pesa maarufu kama Hawala.

Malalamishi yao ni kuwa hatua hiyo itasababisha matatizo makubwa kwa wasomali ambao daima wanategemea njia hiyo, kuwatumia jamaa zao fedha kutoka mataifa ya kigeni.

Hatua hiyo...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wasomali walalama kufungwa kwa Hawala Kenya

Wasomali nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali nchini humo kufunga mashirika 13 ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni

 

10 years ago

BBCSwahili

Kufungwa kwa huduma kuathiri Wasomali

Ripoti mpya inasema kuwa Wasomali milioni 3 wanaotegemea kuhamisha fedha kutoka ng'ambo wako katika hatari ya kukabiliwa na njaa

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Afrika kusini kufungwa wiki tatu

Maafisa wa usalama wameenea katika mitaa mbalimbali Afrika Kusini wakati taifa lilipotangaza watu wasitoke nje.

 

10 years ago

GPL

KAKOBE ALIVYOANZISHA KANISA NA VIJANA KUMI NA TATU -3

Makala: Elvan Stambuli
Naendelea kuwaletea mazungumzo kati yangu na Askofu Zakary Kakobe kuhusu alivyoanza kufanya miujiza ya uponyaji baada ya kuokoka.Mwandishi: Baada ya watu kutoamini kama ungeweza kumponya kwa maombi yule mama aliyekuwa bubu ulifanya nini? Askofu Zakary Kakobe akihubiri. Askofu Kakobe: Niliwaambia waende mitaani wakawaalike watu wengine ili waje waone miujiza ya Mungu kwani baada ya muda mfupi yule mama...

 

9 years ago

Mwananchi

Kili Stars kuanzia kwa Wasomali

Timu ya Taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) itaanza harakati za kusaka ubingwa wa mashindano ya Chalenji kwa kuikabili Somalia katika mchezo wao wa ufunguzi Novemba 22 nchini Ethiopia.

 

11 years ago

Mwananchi

EAC inajifunza nini kwa sarafu ya EU?

>Mwishoni mwa Novemba mwaka jana, kikao cha 15 cha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) jijini Kampala Uganda kilikubaliana kusaini mkataba wa kuanzisha mchakato wa kuwa na sarafu moja itakayotumika katika nchi zote wanachama wa jumuiya hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Onyo kwa EAC kuhusu sarafu

Shirika la fedha duniani limeonya jumuiya ya Afrika Mashariki dhidi ya kuharakisha mpango wake wa kutaka kuwa na sarafu moja

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani