Wasomali walalama kufungwa kwa mashirika kumi na tatu ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni
Kenya imefunga mashirika 13 na akaunti 86 za watu wanaodhaniwa kufadhili Al ShabaabWasomali walalama kufungwa kwa Hawala Kenya
Jamii ya wasomali nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali nchini humo kufunga mashirika kumi na tatu ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni na usafirishaji pesa maarufu kama Hawala.
Malalamishi yao ni kuwa hatua hiyo itasababisha matatizo makubwa kwa wasomali ambao daima wanategemea njia hiyo, kuwatumia jamaa zao fedha kutoka mataifa ya kigeni.
Hatua hiyo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Wasomali walalama kufungwa kwa Hawala Kenya
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Kufungwa kwa huduma kuathiri Wasomali
9 years ago
Vijimambo5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Coronavirus: Afrika kusini kufungwa wiki tatu
10 years ago
GPLKAKOBE ALIVYOANZISHA KANISA NA VIJANA KUMI NA TATU -3
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Kili Stars kuanzia kwa Wasomali
11 years ago
Mwananchi16 Jan
EAC inajifunza nini kwa sarafu ya EU?
11 years ago
BBCSwahili07 Jan
Onyo kwa EAC kuhusu sarafu