Wasomali walalama kufungwa kwa Hawala Kenya
Wasomali nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali nchini humo kufunga mashirika 13 ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo09 Apr
Wasomali walalama kufungwa kwa mashirika kumi na tatu ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/06/150406100153_kenya_soldier_512x288_getty_nocredit.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/06/150406123126_kenya_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Jamii ya wasomali nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali nchini humo kufunga mashirika kumi na tatu ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni na usafirishaji pesa maarufu kama Hawala.
Malalamishi yao ni kuwa hatua hiyo itasababisha matatizo makubwa kwa wasomali ambao daima wanategemea njia hiyo, kuwatumia jamaa zao fedha kutoka mataifa ya kigeni.
Hatua hiyo...
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Kufungwa kwa huduma kuathiri Wasomali
Ripoti mpya inasema kuwa Wasomali milioni 3 wanaotegemea kuhamisha fedha kutoka ng'ambo wako katika hatari ya kukabiliwa na njaa
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/Temig0z8Mco/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Kampuni 13 za hawala zafungwa Kenya
Kenya imeamuru kufungwa kwa kampuni 13 za kusafirisha na kupokea fedha ili kuzuia ufadhili wa makundi ya kigaidi.
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Wamiliki wa Hawala wahojiwa Kenya
Wenye Hawala wahojiwa katika Idara ya ujasusi kujieleza na kujitetea kuhusu tuhuma zinazowakumba za kufanikisha ugaidi
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Kenya yaondoa marufuku dhidi ya Hawala
Kenya imeondoa marufuku dhidi ya kampuni za kupokea na kuhamisha fedha maarufu Hawala zinazotumiwa na raia wengi wa Somalia.
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Wanariadha wa Kenya walalama Scotland.
Kikosi cha Kenya katika mashindao ya Jumuiya ya madola mjini Glascow kinakabiliwa na wakati mgumu kutokana na ukosefu wa vifaa
11 years ago
BBCSwahili09 Apr
Kenya imewafurusha wasomali 82
Serikali ya Kenya imewarudisha nyumbani Wasomali 82 waliokamatwa katika msako mkubwa unaoendelea kukabili ugaidi mjini Nairobi.
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
Kenya yakana kuwahangaisha wasomali
Serikali ya Kenya imekanusha madai ya Amnesty International kuwa inawahangaisha wakimbizi kutoka nchi jirani ya Somalia na kuwarudisha makwao
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania