Kenya imewafurusha wasomali 82
Serikali ya Kenya imewarudisha nyumbani Wasomali 82 waliokamatwa katika msako mkubwa unaoendelea kukabili ugaidi mjini Nairobi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
Kenya yakana kuwahangaisha wasomali
Serikali ya Kenya imekanusha madai ya Amnesty International kuwa inawahangaisha wakimbizi kutoka nchi jirani ya Somalia na kuwarudisha makwao
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Wasomali walalama kufungwa kwa Hawala Kenya
Wasomali nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali nchini humo kufunga mashirika 13 ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni
5 years ago
BBCSwahili09 Mar
Coronavirus: Kwanini Uganda imewafurusha raia 22 wa kigeni waliowasili kwa kongamano la kibiashara
Maafisa wa wizara ya afya nchini Uganda siku ya Jumapili wamesema kwamba takriban raia 22 wa kigeni watarudi katika mataifa yao huku hofu ya maambukizi ya virusi vya corona ikiendelea.
11 years ago
BBCSwahili10 Jun
Tanzania yawakumbatia wasomali
Tanzania imetoa vyeti vya uraia wa Tanzania kwa raia wa Somalia zaidi ya elfu moja na mia tano ambao kiasili walitokea nchini Tanzania zaidi ya karne tatu zilizopita.
10 years ago
GPLWASOMALI 13 WAKAMATWA MOROGORO
Muonekano wa Wasomali baada ya kukamatwa jana Wilaya ya Mvomero, Morogoro. Polisi akifanya mahojiano na Wasomali hao.…
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Wasomali, kuzihukumu Yanga, Azam
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeteua waamuzi kutoka Somalia na Sudan kuchezesha mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga na Komorozine na ile ya Kombe la ShirikishoAfrika kati ya Azam FC dhidi ya Ferroviario Da Beira.
11 years ago
BBCSwahili18 Apr
Wasomali walaani marufuku ya Miraa UK
Wasomali waishio Uingereza wanaotafuna mmea wa Miraa wamelaani hatua ya serikali kupiga marufuku mmea huo . Je nini athari yake?
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Wakimbizi wasomali wanaswa Nairobi
Mamia ya wakimbizi Kutoka Somalia wamenaswa katika msako mkubwa unaoendela Nairobi na viungani mwake.
11 years ago
GPLWASOMALI KUCHEZESHA YANGA, WACOMORO
Kikosi cha timu ya Yanga SC. CAF imeteua waamuzi kutoka Somalia kuchezesha mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Komorozine Sports ya Comoro. Mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya mchujo itafanyika jijini Dar es Salaam kati ya Februari 7 na 9 mwaka huu wakati ile ya marudiano itachezwa kisiwani Comoro kati ya Februari 14 na 16 mwaka huu.
Mwamuzi wa kati atakuwa Hassan Mohamed Hagi wakati wasaidizi wake ni...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania