Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya imewafurusha wasomali 82

Serikali ya Kenya imewarudisha nyumbani Wasomali 82 waliokamatwa katika msako mkubwa unaoendelea kukabili ugaidi mjini Nairobi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kenya yakana kuwahangaisha wasomali

Serikali ya Kenya imekanusha madai ya Amnesty International kuwa inawahangaisha wakimbizi kutoka nchi jirani ya Somalia na kuwarudisha makwao

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasomali walalama kufungwa kwa Hawala Kenya

Wasomali nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali nchini humo kufunga mashirika 13 ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kwanini Uganda imewafurusha raia 22 wa kigeni waliowasili kwa kongamano la kibiashara

Maafisa wa wizara ya afya nchini Uganda siku ya Jumapili wamesema kwamba takriban raia 22 wa kigeni watarudi katika mataifa yao huku hofu ya maambukizi ya virusi vya corona ikiendelea.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania yawakumbatia wasomali

Tanzania imetoa vyeti vya uraia wa Tanzania kwa raia wa Somalia zaidi ya elfu moja na mia tano ambao kiasili walitokea nchini Tanzania zaidi ya karne tatu zilizopita.

 

10 years ago

GPL

WASOMALI 13 WAKAMATWA MOROGORO

Muonekano wa Wasomali baada ya kukamatwa jana Wilaya ya Mvomero, Morogoro. Polisi akifanya mahojiano na Wasomali hao.…

 

11 years ago

Mwananchi

Wasomali, kuzihukumu Yanga, Azam

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeteua waamuzi kutoka Somalia na Sudan kuchezesha mechi ya  Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga na Komorozine na ile ya Kombe  la ShirikishoAfrika kati ya  Azam FC dhidi ya Ferroviario Da Beira.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasomali walaani marufuku ya Miraa UK

Wasomali waishio Uingereza wanaotafuna mmea wa Miraa wamelaani hatua ya serikali kupiga marufuku mmea huo . Je nini athari yake?

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wasomali wanaswa Nairobi

Mamia ya wakimbizi Kutoka Somalia wamenaswa katika msako mkubwa unaoendela Nairobi na viungani mwake.

 

11 years ago

GPL

WASOMALI KUCHEZESHA YANGA, WACOMORO

Kikosi cha timu ya Yanga SC. CAF imeteua waamuzi kutoka Somalia kuchezesha mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Komorozine Sports ya Comoro. Mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya mchujo itafanyika jijini Dar es Salaam kati ya Februari 7 na 9 mwaka huu wakati ile ya marudiano itachezwa kisiwani Comoro kati ya Februari 14 na 16 mwaka huu.
Mwamuzi wa kati atakuwa Hassan Mohamed Hagi wakati wasaidizi wake ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani