WASOMALI KUCHEZESHA YANGA, WACOMORO
Kikosi cha timu ya Yanga SC. CAF imeteua waamuzi kutoka Somalia kuchezesha mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Komorozine Sports ya Comoro. Mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya mchujo itafanyika jijini Dar es Salaam kati ya Februari 7 na 9 mwaka huu wakati ile ya marudiano itachezwa kisiwani Comoro kati ya Februari 14 na 16 mwaka huu. Mwamuzi wa kati atakuwa Hassan Mohamed Hagi wakati wasaidizi wake ni...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Yanga yateketeza Wacomoro
MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga, jana walianza kwa kishindo kampeni ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuwachakaza Komorozine kutoka mji wa Domoni, Comoro mabao 7-0 katika mechi ya kwanza...
11 years ago
GPLYANGA KUWAVAA WACOMORO JUMAMOSI
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Yanga wanoa makali kuwanyoa Wacomoro
KOCHA msaidizi wa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara na wawakilishi katika michuano ya kimataifa, Yanga, Charles Mkwasa, amesema kwa sasa anakomaa na safu ya ushambuliaji kabla ya kushuka dimbani...
11 years ago
BBCSwahili09 Feb
Wacomoro hoi kwa Yanga, walala 7-0
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu0N4aWQk1ND7tfwvaXCIZ9jiRROkdrbfIPr4ffnYlXAjL2COu2EnCOMOcPDBJTLfOPrlvfzPq*c6S*c7q0LLEkw/adui.jpg)
Adui wa Yanga kuchezesha mechi ya watani
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Wasomali, kuzihukumu Yanga, Azam
9 years ago
Habarileo01 Jan
Waamuzi 16 kuchezesha Mapinduzi
JUMLA ya waamuzi 16 na makamishna wanne wanatarajiwa kuchezesha michuano ya kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza keshokutwa mjini hapa.
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Logarusic: Kocha Hans funga Wacomoro hao
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kFpJhHU0hpI/U1kvH6CwyaI/AAAAAAAFcsA/LvtRtj9k19U/s72-c/isaa_kagabo.jpg)
MKENYA OGWAYO KUCHEZESHA STARS, BURUNDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-kFpJhHU0hpI/U1kvH6CwyaI/AAAAAAAFcsA/LvtRtj9k19U/s1600/isaa_kagabo.jpg)
Ogwayo katika mechi hiyo ya maadhimisho ya miaka 50 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, atasaidiwa na Gilbert Cheruiyot na Oliver Odhiambo wote pia kutoka Kenya. Mwamuzi wa mezani atakuwa Israel Mujuni wa...