Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yateketeza Wacomoro

MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga, jana walianza kwa kishindo kampeni ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuwachakaza Komorozine kutoka mji wa Domoni, Comoro mabao 7-0 katika mechi ya kwanza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YANGA KUWAVAA WACOMORO JUMAMOSI

Wawakilishi wa Tanzania bara kwenye mashindano ya klabu Bingwa barani Afrika timu ya Young Africans itashuka dimbani siku ya jumamosi kuivaa timu ya Komorozine de Domoni ya Visiwa vya Comoro katika mchezo wa hatua ya awali ya Klabu Bingwa barani Afrika. Young Africans itashukda dimbani kuhakikisha inaendeleza wimbi la ushindi kufuatia kupata ushindi katika mchezo wa mwisho dhidi ya timu ya Mbeya City mchezo ambao ulikuwa ni...

 

11 years ago

GPL

WASOMALI KUCHEZESHA YANGA, WACOMORO

Kikosi cha timu ya Yanga SC. CAF imeteua waamuzi kutoka Somalia kuchezesha mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Komorozine Sports ya Comoro. Mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya mchujo itafanyika jijini Dar es Salaam kati ya Februari 7 na 9 mwaka huu wakati ile ya marudiano itachezwa kisiwani Comoro kati ya Februari 14 na 16 mwaka huu.
Mwamuzi wa kati atakuwa Hassan Mohamed Hagi wakati wasaidizi wake ni...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wacomoro hoi kwa Yanga, walala 7-0

Yanga ya Tanzania imewafunga Komorozine ya Comoro mabao 7-0 katika mchezo wa awali wa kuwania kombe la klabu bingwa Afrika

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga wanoa makali kuwanyoa Wacomoro

KOCHA msaidizi wa  mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara na wawakilishi katika michuano ya kimataifa, Yanga, Charles Mkwasa, amesema kwa sasa anakomaa na safu ya ushambuliaji kabla ya kushuka dimbani...

 

11 years ago

Mwananchi

Logarusic: Kocha Hans funga Wacomoro hao

Kocha wa Simba, Zdavco Logarusic ‘Loga’ amemtakia kila la kheri  mwenzake wa Yanga, Hans Van Der Pluijm kwa kushinda mchezo wa leo dhidi ya Komorozine.

 

9 years ago

Mwananchi

TFDA yateketeza shehena ya vipodozi

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), Kanda ya Kati imetekeza shehena ya vipodozi vyenye viambata vya sumu vya thamani ya Sh49 milioni.

 

10 years ago

Habarileo

TFDA yateketeza tani 6 za vipodozi

 MAMLAKA ya Chakula na Dawa Kanda ya Kati Dodoma (TFDA), imeteketeza vipodozi vyenye viambata vya sumu vyenye uzito wa tani tano na nusu vyenye thamani ya zaidi la Sh milioni 48.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFDA yateketeza bidhaa tani 3

MAMLAKA ya Chakula na Dawa nchini (TFDA), imeteketeza bidhaa mbalimbali zisizo na ubora za vipodozi, chakula na vifaatiba vipatavyo tani 3 vyenye thamani ya sh milioni 9. Akizungumza na waandishi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBS yateketeza marobota ya mitumba

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, limeendesha operesheni maalumu katika masoko makubwa ya nguo za mitumba katika miji ya Moshi na Arusha yanayodaiwa kuwa wauzaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani