Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TBS yateketeza marobota ya mitumba

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, limeendesha operesheni maalumu katika masoko makubwa ya nguo za mitumba katika miji ya Moshi na Arusha yanayodaiwa kuwa wauzaji...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

TBS yateketeza chumvi tani moja na nusu

Shirika  la Viwango Tanzania TBS limeteketeza  chumvi ya tani 1.5 yenye thamani ya shilingi 500,000 kutoka kampuni ya Seasalt baada ya kugundulika kutokidhi viwango .

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBS: Operesheni mitumba ni ya kisheria

SHIRIKA la Viwango nchini (TBS) limesema linatekeleza operesheni ya kuondoa nguo za ndani za mitumba kwa kufuata sheria, si kwa ajili ya kuwanufaisha wafanyabiashara wa maduka nchini. Akizungumza na Tanzania...

 

10 years ago

Mwananchi

TBS: Wananchi acheni kununua nguo mitumba

>Shirika la Viwango (TBS) limewataka wananchi kutonunua nguo za ndani za mtumba ili kuua soko la bidhaa hizo zenye athari kiafya.

 

11 years ago

AllAfrica.Com

TBs War On 'Mitumba' Underwear Spreads to Arusha


IPPmedia
TBs War On 'Mitumba' Underwear Spreads to Arusha
AllAfrica.com
The National Bureau of Standards has shifted the war against imported second-hand inner garments to Arusha and Kilimanjaro regions and so far bales of such clothes have been set ablaze in Arusha. The Officer in-charge of standards and quality control at ...
Tanzania Bureau of Standards (TBS)IPPmedia
Imported goods now to bear TBS stamp of quality approvalDaily News

all 3

 

11 years ago

Habarileo

Wauza nguo za ndani mitumba waizidi ujanja TBS

WAFANYABIASHARA wa nguo za ndani zilizo hafifu maarufu kama mitumba jijini Mbeya, jana waliwazidi ujanja maofisa wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kuficha nguo hizo wakati wa operesheni ya kuzikusanya na kuwakamata wauzaji.

 

11 years ago

Habarileo

TBS: Magari mitumba, tairi chakavu chanzo cha ajali

UNUNUZI wa magari nje ya nchi yaliyokaa muda mrefu kisha kuyatumia nchini, unadaiwa kuchangia ajali nyingi barabarani, kutokana na baadhi tairi kuisha muda wa matumizi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga yateketeza Wacomoro

MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga, jana walianza kwa kishindo kampeni ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuwachakaza Komorozine kutoka mji wa Domoni, Comoro mabao 7-0 katika mechi ya kwanza...

 

9 years ago

Mwananchi

TFDA yateketeza shehena ya vipodozi

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), Kanda ya Kati imetekeza shehena ya vipodozi vyenye viambata vya sumu vya thamani ya Sh49 milioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani