Wauza nguo za ndani mitumba waizidi ujanja TBS
WAFANYABIASHARA wa nguo za ndani zilizo hafifu maarufu kama mitumba jijini Mbeya, jana waliwazidi ujanja maofisa wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kuficha nguo hizo wakati wa operesheni ya kuzikusanya na kuwakamata wauzaji.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Sep
TBS: Wananchi acheni kununua nguo mitumba
11 years ago
BBCSwahili22 Jan
Mitumba ya nguo za ndani yazagaa TZ
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Nguo za ndani za mitumba zinauzwa Uganda
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Nguo za ndani za mitumba bado Uganda
11 years ago
Habarileo31 Jan
Zanzibar kupiga marufuku nguo za ndani za mitumba
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema nguo za ndani za mitumba zitapigwa marufuku mara baada ya kuanza kutekelezwa kwa sheria ya biashara ya mwaka 2013. Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Juma Duni Haji wakati akiwasilisha utekelezaji wa majukumu ya wizara yake kwa Kamati ya Biashara Fedha na Kilimo kwa mwaka 2014.
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Nguo za ndani za mitumba huathiri mifumo ya uzazi
MIAKA ya nyuma Tanzania ilionekana kama dampo la kuingiza bidhaa zisizo na ubora, hatua iliyosababisha baadhi ya wadau kulitupia jicho Shirika la Viwango Tanzania (TBS) ili kuliamsha. TBS iliyoanzishwa kwa...
11 years ago
Habarileo24 Jan
30 mbaroni kwa kuuza nguo za ndani za mitumba
WAFANYABIASHARA 30 wa nguo za ndani za mitumba wa jijini Arusha wamekamatwa kwa kufanya biashara hiyo kinyume cha sheria.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-oYIvqiRh9o0/XlTRdnpjD3I/AAAAAAAAvc4/2x519DJE5wIzKxne3tt-NdwYQAxmXq2LgCLcBGAsYHQ/s72-c/Untitled-1.jpg)
WAZIRI ZUNGU APIGA STOP NGUO ZA NDANI ZA MITUMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-oYIvqiRh9o0/XlTRdnpjD3I/AAAAAAAAvc4/2x519DJE5wIzKxne3tt-NdwYQAxmXq2LgCLcBGAsYHQ/s640/Untitled-1.jpg)
"Nguo za mitumba ambazo haziruhusiwi ni nguo za ndani kwa sababu ya maradhi, mfano Mwanamke anavaa vazi la juu (sidiria) huwezi kujua aliyevaa kabla yako alikuwa ana magonjwa gani, huo ndio mwanzo wa kusambaa kwa magonjwa ya saratani"
“Nimefanya ziara Mto Msimbazi shughuli za Binadamu zinaharibu kingo za Mto, Kuna mazungumzo yanaendelea...