Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TBS: Operesheni mitumba ni ya kisheria

SHIRIKA la Viwango nchini (TBS) limesema linatekeleza operesheni ya kuondoa nguo za ndani za mitumba kwa kufuata sheria, si kwa ajili ya kuwanufaisha wafanyabiashara wa maduka nchini. Akizungumza na Tanzania...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TBS yateketeza marobota ya mitumba

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, limeendesha operesheni maalumu katika masoko makubwa ya nguo za mitumba katika miji ya Moshi na Arusha yanayodaiwa kuwa wauzaji...

 

11 years ago

AllAfrica.Com

TBs War On 'Mitumba' Underwear Spreads to Arusha


IPPmedia
TBs War On 'Mitumba' Underwear Spreads to Arusha
AllAfrica.com
The National Bureau of Standards has shifted the war against imported second-hand inner garments to Arusha and Kilimanjaro regions and so far bales of such clothes have been set ablaze in Arusha. The Officer in-charge of standards and quality control at ...
Tanzania Bureau of Standards (TBS)IPPmedia
Imported goods now to bear TBS stamp of quality approvalDaily News

all 3

 

10 years ago

Mwananchi

TBS: Wananchi acheni kununua nguo mitumba

>Shirika la Viwango (TBS) limewataka wananchi kutonunua nguo za ndani za mtumba ili kuua soko la bidhaa hizo zenye athari kiafya.

 

11 years ago

Habarileo

Wauza nguo za ndani mitumba waizidi ujanja TBS

WAFANYABIASHARA wa nguo za ndani zilizo hafifu maarufu kama mitumba jijini Mbeya, jana waliwazidi ujanja maofisa wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kuficha nguo hizo wakati wa operesheni ya kuzikusanya na kuwakamata wauzaji.

 

11 years ago

Habarileo

TBS: Magari mitumba, tairi chakavu chanzo cha ajali

UNUNUZI wa magari nje ya nchi yaliyokaa muda mrefu kisha kuyatumia nchini, unadaiwa kuchangia ajali nyingi barabarani, kutokana na baadhi tairi kuisha muda wa matumizi.

 

10 years ago

Mwananchi

Soko la mitumba lazua mvutano

Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (Chadema) ameamua kujenga soko la kisasa eneo la Kiboriloni litakalokuwa na vibanda 200 na eneo la wazi kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo na wa mitumba.

 

10 years ago

TheCitizen

Boost manufacturing before banning ‘mitumba’

It is in the news again. Second-hand imports must be proscribed in East Africa in a bid to promote local industries. Targeted for banning are clothing, leather goods and vehicles.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mitumba ya nguo za ndani yazagaa TZ

Licha ya kupigwa marufuku nguo za ndani za mitumba nchini Tanzania kutokana na sababu za kiafya, bado biashara inaonekana kunawiri.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani