Soko la mitumba lazua mvutano
Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (Chadema) ameamua kujenga soko la kisasa eneo la Kiboriloni litakalokuwa na vibanda 200 na eneo la wazi kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo na wa mitumba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Ndesamburo: Soko la mitumba litarejea Kiborloni
10 years ago
Vijimambo26 Mar
TABIA HII YA WAUZA MITUMBA SOKO LA MCHIKICHINI NI UDHALILISHAJI WA KIJINSIA
![Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/Baadhi-ya-wateja-wa-nguo-wakichagua-nguo-kwenye-soko-la-Mchikichini.jpg)
Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale wa Modewji blogMiongoni mwa mambo ya aibu katika jamii ni pamoja na masuala ya udhalilishaji wa kijinsia ukiwemo ule wa maungoni hasa kwa wanawake.Kwa muda mrefu mtandao huu umekuwa ukifuatilia vitendo hivyo vibaya kwa jamii vinavyofanywa na watu waliokosa ustaarabu hasa jamii ya vijana katika maeneo ya mikusanyiko ya watu wengi karibu maeneo mengi ikiwemo jiji la Dar es Salaam....
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
TAHARIRI: Tabia hii ya wauza mitumba soko la Mchikichini ni udhalilishaji wa kijinsia
Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Miongoni mwa mambo ya aibu katika jamii ni pamoja na masuala ya udhalilishaji wa kijinsia ukiwemo ule wa maungoni hasa kwa wanawake.
Kwa muda mrefu mtandao huu umekuwa ukifuatilia vitendo hivyo vibaya kwa jamii vinavyofanywa na watu waliokosa ustaarabu hasa jamii ya vijana katika maeneo ya mikusanyiko ya watu wengi karibu maeneo mengi ikiwemo jiji la Dar es...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/Baadhi-ya-wateja-wa-nguo-wakichagua-nguo-kwenye-soko-la-Mchikichini.jpg?width=640)
TAHARIRI: TABIA HII YA WAUZA MITUMBA SOKO LA MCHIKICHINI NI UDHALILISHAJI WA KIJINSIA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MJ3dTmDoG5I/U5kFcIPMTSI/AAAAAAAFp4o/4FGsZCvgQEQ/s72-c/a51753e235853734320d1b593db9c3ed.jpg)
Breaking Newssss: moto wateketeza soko la mitumba la karume jijini Dar usiku huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-MJ3dTmDoG5I/U5kFcIPMTSI/AAAAAAAFp4o/4FGsZCvgQEQ/s1600/a51753e235853734320d1b593db9c3ed.jpg)
10 years ago
MichuziMEYA WA KINONDONI YUSUPH MWENDA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA SOKO LA MBURAHATI AAHIDI KUANZA KWA MRADI WA UJENZI WA SOKO JIPYA MWEZI UJAO
10 years ago
Mtanzania11 Apr
Tishio la Al-Shabaab lazua taharuki
Na Mwandishi Wetu
TAARIFA za kundi la kigaidi la Al-Shabaab kutekeleza shambulio katika mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza na Arusha jana zilizua taharuki kubwa katika baadhi ya taasisi, vyuo na maeneo mengine, huku baadhi wakibaki wasijue la kufanya.
Hofu kubwa ilitanda jana katika maeneo mbalimbali ya mikoa hiyo, kutokana na ujumbe ambao umekuwa ukisambazwa muda mrefu kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii na simu za mkononi, ukidaiwa kutolewa na Umoja wa Mataifa (UN), ukiwatahadharisha watu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVICVo3Uv0zZkeUybOZImrzFZsP*W-qs009MaxcH63ZDDTBr1fHPZS42wj3wf9MFjl6VnFGFFphKfK2jEA1sjKN3/JikeDume.jpg)
JIKE DUME LAZUA KIZAAZAA
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Bomu lazua taharuki uwanjani Dortmund