Tishio la Al-Shabaab lazua taharuki
Na Mwandishi Wetu
TAARIFA za kundi la kigaidi la Al-Shabaab kutekeleza shambulio katika mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza na Arusha jana zilizua taharuki kubwa katika baadhi ya taasisi, vyuo na maeneo mengine, huku baadhi wakibaki wasijue la kufanya.
Hofu kubwa ilitanda jana katika maeneo mbalimbali ya mikoa hiyo, kutokana na ujumbe ambao umekuwa ukisambazwa muda mrefu kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii na simu za mkononi, ukidaiwa kutolewa na Umoja wa Mataifa (UN), ukiwatahadharisha watu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Bomu lazua taharuki uwanjani Dortmund
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ctVGzmtSoN9dXUrxxOyM0krY9H4mb1mJ2liUO5u1R9DAEQEkHo-fS1MBrhP2kV7e2y-pGg*zhcrMOy-5rA-n7CODPlmA8Mdq/AlShabaabfighters014.jpg?width=650)
AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Soko la mitumba lazua mvutano
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVICVo3Uv0zZkeUybOZImrzFZsP*W-qs009MaxcH63ZDDTBr1fHPZS42wj3wf9MFjl6VnFGFFphKfK2jEA1sjKN3/JikeDume.jpg)
JIKE DUME LAZUA KIZAAZAA
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Tetemeko lazua hofu ya tsunami Chile
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Baraza la mawaziri lazua hisia Tanzania
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Agizo la Makala lazua ‘tafrani’ mitandaoni
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Tangazo la biashara lazua zogo China
9 years ago
Mwananchi25 Oct
Gari la tume lazua utata kituoni