Gari la tume lazua utata kituoni
Gari lilokodiwa na tume ya uchaguzi ya Wilaya ya Arumeru Mashariki  limezua utata baada ya kukutwa na kiasi cha fedha zaidi ya Sh 6 milioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
GARI LA BOZI KWA ALLY NIPISHE LAZUA UTATA
11 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
10 years ago
Vijimambo13 Jan
Gari la DC wa Mbozi lazua tafrani jimboni kwa Kilango

Same. Katika hali isiyo ya kawaida, Mkuu wa Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya, Dk Michael Kadege limekutwa likipeperusha bendera katika eneo la Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro na kuzua tafrani kati ya mkuu huyo na...
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Gari la DC wa Mbozi lazua tafrani jimboni kwa Kilango
11 years ago
GPL
GARI LA GURUMO UTATA MTUPU
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Vyama vyataka tume iondoe utata hati ya Muungano
VYAMA vya siasa vya UND, UNDP na Demokrasia Makini, wameitaka Tume ya Marekebisho ya Katiba kutoa ufafanuzi juu ya hati ya muungano waliyoitumia wakati wa kuandaa rasimu ya katiba. Wakizungumza...
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
UPORWAJI WA SILAHA KITUONI...
Polisi bado njia panda
NA MWANDISHI WETU
JESHI la Polisi nchini limesema silaha zilizoporwa na majambazi katika tukio uvamizi wa kituo cha polisi cha Kimanzichana bado hazijapatikana na hakuna mtu anayeshikiliwa.
Tukio hilo lilitokea Juni 11, mwaka huu ambapo majambazi walivamia kituo hicho usiku wa manane na kuua askari mwenye namba D.9887 Koplo Joseph Ngonyani.
Silaha zilizoporwa katika kituo hicho ni Shot gun tatu na SMG mbili za Jeshi la Polisi.
Akizungumza na Uhuru jana, Kamishna wa...
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Walalamikia uchafu kituoni Mbagala