Walalamikia uchafu kituoni Mbagala
Baadhi ya watumiaji wa Kituo cha Mabasi yanayokwenda katika Mikoa ya Kusini cha Mbagala Rangitatu, wamelalamikia uchafu na majitaka yaliyotuama katika eneo hilo kwa kipindi kirefu sasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWAKAZI WA BUGURUNI WALALAMIKIA KUONGEZEKA KWA UCHAFU
Mwenyekiti wa serikali za mitaa Buguruni-Madenge, Mwishehe Mbegete akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Rundo la uchafu pembeni mwa nyumba.…
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YHPDDV_pMTs/VoKfvIItcDI/AAAAAAAIPPA/brMPh7_2kgs/s72-c/IMG-20151215-WA0232.jpg)
WANANCHI WA KIJIJI CHA SHENDA WILAYANI GEITA WALALAMIKIA UCHAFU ULIOTUPWA TAREHE 9 DISEMBA
Krantz Mwantepele,Geita
Wananchi wa kijiji cha Shenda katika kata ya Masumbwe wilayani Mbogwe mkoani Geita Wameitaka ofisi ya mkurugenzi wa halmashauri ya Mbogwe kuziondoa takataka zilizowekwa kijijini kwao kufuatia zoezi la usafi la December 9 Lililofanyika nchi nzima.
Wakiongea na waandishi wa habari za mtandaoni wananchi hao wanakijiji hao wamesema kuwa wanashangazwa na kitendo cha halmashauri ya wilaya kutupa takataka katika kijiji chao licha ya kwamba hakuna dampo la uchafu eneo...
Wananchi wa kijiji cha Shenda katika kata ya Masumbwe wilayani Mbogwe mkoani Geita Wameitaka ofisi ya mkurugenzi wa halmashauri ya Mbogwe kuziondoa takataka zilizowekwa kijijini kwao kufuatia zoezi la usafi la December 9 Lililofanyika nchi nzima.
Wakiongea na waandishi wa habari za mtandaoni wananchi hao wanakijiji hao wamesema kuwa wanashangazwa na kitendo cha halmashauri ya wilaya kutupa takataka katika kijiji chao licha ya kwamba hakuna dampo la uchafu eneo...
10 years ago
MichuziUONGOZI WA SOKO LA MCHIKICHINI -ILALA WALALAMIKIA KUKITHIRI KWA UCHAFU SOKO LA MCHIKICHINI
Katibu wa soko la Mchikichini-Ilala jijini Dar es Salaaam John Andrew akionyesha takataka zilivyo lundikana katika eneo la soko la Mchikichini-Ilala baada...
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
UPORWAJI WA SILAHA KITUONI...
Polisi bado njia panda
NA MWANDISHI WETU
JESHI la Polisi nchini limesema silaha zilizoporwa na majambazi katika tukio uvamizi wa kituo cha polisi cha Kimanzichana bado hazijapatikana na hakuna mtu anayeshikiliwa.
Tukio hilo lilitokea Juni 11, mwaka huu ambapo majambazi walivamia kituo hicho usiku wa manane na kuua askari mwenye namba D.9887 Koplo Joseph Ngonyani.
Silaha zilizoporwa katika kituo hicho ni Shot gun tatu na SMG mbili za Jeshi la Polisi.
Akizungumza na Uhuru jana, Kamishna wa...
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Waandikishaji BVR wafungiwa kituoni
Kazi ya uandikishaji wapigakura imezidi kukumbwa na matatizo baada ya wananchi kuwafgungia waandikishaji ndani ya kituo kutokana na kupata taarifa kuwa muda uliopangwa kwa ajili ya mitaa ya Buhalahala, Kisesa na Moringe umekwisha, huku wakiwa hawajapata nafasi ya kusajiliwa.
10 years ago
Vijimambo22 Jan
Majambazi yavamia, yaua polisi kituoni
Waliouawa wawili, yapora bunduki saba na risasi kibao, Ni tukio la tatu katika miezi saba, IGP atangaza bingo ya milioni 20/-
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu.
Matukio ya kuvamia, kuteka, kuwaua askari na kupora silaha katika vituo vya polisi, yameanza kushamiri nchini, hali inayoashiria hatari iliyopo kwa wananchi kwani sasa majambazi yameanza kuvigeuza vituo hivyo kuwa eneo la kujipatia silaha.
Katika kipindi cha miezi saba sasa kuanzia Juni, mwaka jana hadi Januari, mwaka huu,...
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mangu-22Jan2015.jpg)
Matukio ya kuvamia, kuteka, kuwaua askari na kupora silaha katika vituo vya polisi, yameanza kushamiri nchini, hali inayoashiria hatari iliyopo kwa wananchi kwani sasa majambazi yameanza kuvigeuza vituo hivyo kuwa eneo la kujipatia silaha.
Katika kipindi cha miezi saba sasa kuanzia Juni, mwaka jana hadi Januari, mwaka huu,...
10 years ago
Mwananchi06 Apr
Polisi ajiua kwa risasi kituoni
>Polisi aliyefahamika kwa jina la Charles mwenye namba H 3416 wa Kituo cha Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora, amejiua kwa kujipiga risasi akiwa ndani ya kituo.
9 years ago
Mwananchi25 Oct
Gari la tume lazua utata kituoni
Gari lilokodiwa na tume ya uchaguzi ya Wilaya ya Arumeru Mashariki  limezua utata baada ya kukutwa na kiasi cha fedha zaidi ya Sh 6 milioni.
9 years ago
Habarileo26 Oct
RC aungana na wapiga kura kuwahi kituoni
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa ni miongoni mwa wananchi waliojitokeza kupiga kura katika kituo cha kupigia kura cha shule ya msingi Dodoma Mlimani, kata ya Tambuka Reli huku vijana wakidai hawapo tayari kulinda kura vituoni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania