Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waandikishaji BVR wafungiwa kituoni

Kazi ya uandikishaji wapigakura imezidi kukumbwa na matatizo baada ya wananchi kuwafgungia waandikishaji ndani ya kituo kutokana na kupata taarifa kuwa muda uliopangwa kwa ajili ya mitaa ya Buhalahala, Kisesa na Moringe umekwisha, huku wakiwa hawajapata nafasi ya kusajiliwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Davido, Wizkid wafungiwa

Davido na WizkidLAGOS, Nigeria

SHIRIKA la Utangazaji nchini Nigeria (NBC), limetangaza kuzifungia nyimbo mbalimbali zisizo na maadili, zikiwemo za wasanii nyota wa nchini humo, Davido na Wizkid.

Wimbo wa Davido uliotangazwa kufungiwa ni ‘In Do Me’ na wimbo wa Wizkid uliofungiwa ni ‘In My Bed’, nyimbo hizo zimefungiwa kupigwa kwenye vituo vyote vya runinga na radio nchini humo kutokana na kukosa maadili kwa jamii.

Nyimbo nyingine ambazo zimefungiwa kupigwa kwenye radio na runinga nchini humo ni pamoja na...

 

11 years ago

GPL

WEMA,DIAMOND WAFUNGIWA KAZI!

Waandishi Wetu
HABARI mpya! Mama wa Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu, Mariam Sepetu anadaiwa kuingia rasmi mitaani akiwasaka wapenzi, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Wema, chanzo cha uhakika kimesema na Amani. Wema na Diamond wakiwa katika pozi la kimahaba. Kwa mujibu wa chanzo hicho makini, mama Wema ameamua kuchukua uamuzi huo baada ya kusikia taarifa kutoka kwa watu kwamba, Diamond amekuwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Blatter, Platini wafungiwa miaka minane

Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter na Rais wa Shirikisho la Soka Barani la Ulaya, Michel Platini wamefungiwa kutojihusisha na shughuli za soka kwa miaka minane kutokana na uchunguzi maalumu uliofanywa na Kamati ya Maadili ya Fifa. Baada ya uchunguzi huo walikutwa na hatia rushwa ya kutoa na kupokea rushwa inayokadiliwa kuwa Pauni 1.3 milioni za ‘malipo hewa’ yaliyofanywa na Fifa yakihizinishwa na Blatter kwenda kwa Platini mwaka 2011.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

UPORWAJI WA SILAHA KITUONI...


Polisi bado njia panda

NA MWANDISHI WETU
JESHI la Polisi nchini limesema silaha zilizoporwa na majambazi katika tukio uvamizi wa kituo cha polisi cha Kimanzichana bado hazijapatikana na hakuna mtu anayeshikiliwa.
Tukio hilo lilitokea Juni 11, mwaka huu ambapo majambazi walivamia kituo hicho usiku wa manane na kuua askari mwenye namba D.9887 Koplo Joseph Ngonyani.
Silaha zilizoporwa katika kituo hicho ni Shot gun tatu na SMG mbili za Jeshi la Polisi.
Akizungumza na Uhuru jana, Kamishna wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mahabusu wa kike, kiume wafungiwa chumba kimoja

WANANCHI wa Kijiji cha Jojo, Kata ya Santilya, Wilaya ya Mbeya Vijijini, wamelaani kitendo cha Katibu Mtendaji wao, Anderson Yamaliha, kuwakamata wanaume watano, mwanamke mmoja na kuwafungia chumba kimoja, akidai...

 

9 years ago

Global Publishers

Blatter, Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka

Michel-PlatiniSepp-Blatte-001Platini (kushoto) akiwa na Blatter

Zurich, Uswisi
Aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter na aliyekuwa Makamu wa Rais wa Fifa na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Ulaya (UEFA), Michel Platini, wamekutwa na hatia katika sakata la rushwa na matumizi mabaya ya ofisi yaliyokuwa yakiwakabili na kila mmoja amefungiwa miaka 8 kutojihusisha na masuala yoyote yanayohusu mchezo wa soka.

PlatiniBlatter (kushoto) akiwa na Platini

Hukumu hiyo imetolewa na kamati ya maadili ya Fifa leo...

 

11 years ago

Mwananchi

Walalamikia uchafu kituoni Mbagala

Baadhi ya watumiaji wa Kituo cha Mabasi yanayokwenda katika Mikoa ya Kusini cha Mbagala Rangitatu, wamelalamikia uchafu na majitaka yaliyotuama katika eneo hilo kwa kipindi kirefu sasa.

 

10 years ago

Habarileo

Tibaijuka, Chenge, Ngeleja wafungiwa vikao vya chama

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Nape Nnauye KAMATI Kuu ya CCM (CC) imewasimamisha uongozi wa vikao vya chama, vigogo watatu wa chama hicho, akiwemo Waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka kutokana na kuhusishwa na sakata la Escrow.

 

10 years ago

Vijimambo

Majambazi yavamia, yaua polisi kituoni

Waliouawa wawili, yapora bunduki saba na risasi kibao, Ni tukio la tatu katika miezi saba, IGP atangaza bingo ya milioni 20/-Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu.
Matukio ya kuvamia, kuteka, kuwaua askari na kupora silaha katika vituo vya polisi, yameanza kushamiri nchini, hali inayoashiria hatari iliyopo kwa wananchi kwani sasa majambazi yameanza kuvigeuza vituo hivyo kuwa eneo la kujipatia silaha.

Katika kipindi cha miezi saba sasa kuanzia Juni, mwaka jana hadi Januari, mwaka huu,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani