Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKAZI WA BUGURUNI WALALAMIKIA KUONGEZEKA KWA UCHAFU

Mwenyekiti wa serikali za mitaa Buguruni-Madenge, Mwishehe Mbegete akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Rundo la uchafu pembeni mwa nyumba.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SOKO LA BUGURUNI: SHILINGI MIL.27 HUKUSANYWA KWA MWEZI, LAKINI HALI YA UCHAFU SOKONI HAPO NI HATARI

Na Makongoro Oging’
Soko la Buguruni ni moja kati ya masoko makubwa yanayotegemewa katika Jiji la Dar es Salaam kwa serikali kujipatia kipato pia wateja kujipatia mahitaji ya kila siku lakini cha kushangaza ni kwamba uchafu umekithiri. Muonekano wa soko la Buguruni. Mwenyekiti wa wafanyabiashara wa soko hilo, Said Habibu Kondo amesema soko hilo lina wafanyabiashara 3,000 na kila mmoja hutozwa ushuru na manispaa kati ya...

 

9 years ago

Michuzi

“HATUSAMBAZI MAJI YENYE UCHAFU BUGURUNI”- DAWASCO

SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) limewatahadharisha wananchi kuepuka taarifa za uzushi zilizoripotiwa na vyombo kadhaa vya habari juu ya usambazaji maji machafu kwenye line za mabomba ya wateja wa Dawasco.
Akizungumza na gazeti hili, Kaimu Meneja Uhusiano wa Dawasco , Bi Everlasting Lyaro alisema taarifa hizo za uzushi zimesambazwa na watu wachache ili kuchafua taswira ya shirika hilo na pia  kuihusisha Dawasco moja kwa moja na mlipuko wa kipindupindu ulioingia...

 

11 years ago

Mwananchi

Walalamikia uchafu kituoni Mbagala

Baadhi ya watumiaji wa Kituo cha Mabasi yanayokwenda katika Mikoa ya Kusini cha Mbagala Rangitatu, wamelalamikia uchafu na majitaka yaliyotuama katika eneo hilo kwa kipindi kirefu sasa.

 

10 years ago

Michuzi

UONGOZI WA SOKO LA MCHIKICHINI -ILALA WALALAMIKIA KUKITHIRI KWA UCHAFU SOKO LA MCHIKICHINI

 Mwenyekiti wa Soko la Mchikichini-Ilala Jumanne Kongogo akizungumza na baadhi ya waandishi wa habari waliofika katika Ofisi za Soko la Mchikichini-Ilala jijini Dar es Salaam leo,  kuhusiana na wafanyabiashara Walemavu kufunga barabara ambayo inaruhusu magari kutoka na kuingia katika soko hilo, magari ambayo yanatoa huduma katika soko hilo.
Katibu wa soko la Mchikichini-Ilala jijini Dar es Salaaam John Andrew akionyesha takataka zilivyo lundikana katika eneo la soko la Mchikichini-Ilala baada...

 

9 years ago

Michuzi

WANANCHI WA KIJIJI CHA SHENDA WILAYANI GEITA WALALAMIKIA UCHAFU ULIOTUPWA TAREHE 9 DISEMBA

Krantz Mwantepele,Geita
Wananchi wa kijiji cha Shenda katika kata ya Masumbwe wilayani Mbogwe mkoani Geita Wameitaka ofisi ya mkurugenzi wa halmashauri ya Mbogwe kuziondoa takataka zilizowekwa kijijini kwao kufuatia zoezi la usafi la December 9 Lililofanyika nchi nzima.
Wakiongea na waandishi wa habari za mtandaoni wananchi hao wanakijiji hao wamesema kuwa wanashangazwa na kitendo cha halmashauri ya wilaya kutupa takataka katika kijiji chao licha ya kwamba hakuna dampo la uchafu eneo...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS JAKAYA KIKWETE AWAFARIJI WAKAZI WA BUGURUNI WALIOKUMBWA NA MAFURIKO

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua kazi ya kuondoa maji ya mafuriko kutoka katika nyumba za watu katika eneo la Buruguruni Mnyamani wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam leo wakati Rais na Mkewe Mama Salma Kikwete na viongozi mbalimbali walipotembelea eneo hili kujionea athari za mafuriko na kuwafariji wananchi.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji mmoja wa wakazi wa Buguruni Mnyamani Bi.Halima Hamza ambaye nyumba yake imeathiriwa vibaya na maji ya mafuriko wakati Rais na Mkewe Mama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Kitanga walalamikia unyanyasaji

WANAKIJIJI wa Kitanga,  wilayani Kisarawe, Pwani wamelalamikia vitendo vya unyanyasaji wanavyofanyiwa na Kampuni ya World Map inayojihusisha na upimaji wa ardhi katika maeneo hayo. Wakizungumza  katika mkutano uliowakutanisha wanakijiji na...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Mpanga walalamikia mpaka wa hifadhi ya Kipengele

 

Wakazi wa kata ya Mpanga Kipengele Wilaya ya Mbarali Mkoani mbeya, wamelalamikia shirika la Hifadhi ya Taifa Mpanga Kipengele, kuwafanyia vitendo vya unyanyasaji na kupora ardhi yao.

Mlalamiko hayo yametolewa katika mkutano wa hadhara uliohUsisha wananchi, uongozi wa Halmashauri ya Mji Rujewa na uongozi wa Hifadhi hiyo, mkutano ambao umelenga kumaliza mgogoro uliopo.

Katika mkutano huo, wananchi wakiongozwa na diwani wa kata hiyo Peter Vicent wamesema, wameshtushwa na kuona mpaka unazidi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wakazi wa manispaa ya Singida walalamikia uongozi kushindwa kuzoa taka ngumu

SAM_1999

Baadhi ya maghuba yaliyopo katika Manispaa ya Singida yakiwa yamefurika taka ngumu kwa muda mrefu sasa kama ambavyo Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Bwana Joseph Mchina alivyokiri katika maelezo yake kushindwa kuzoa kutokana na magari ya kuzolea taka kuchelewa kufika.(Picha zote na Jumbe Ismailly).

SAM_2002_1

 

Na Jumbe Ismailly, Singida      

WAKAZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida wameulalakia uongozi wa Manispaa hiyo kwa kushindwa kuzoa taka kwenye maghuba ya kukusanyia taka ngumu zinazokusanywa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani