“HATUSAMBAZI MAJI YENYE UCHAFU BUGURUNI”- DAWASCO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0YDNtVz-Kk/VfAONL5rh4I/AAAAAAAH3iU/k3Iu0TfZ6_M/s72-c/download.jpg)
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) limewatahadharisha wananchi kuepuka taarifa za uzushi zilizoripotiwa na vyombo kadhaa vya habari juu ya usambazaji maji machafu kwenye line za mabomba ya wateja wa Dawasco.
Akizungumza na gazeti hili, Kaimu Meneja Uhusiano wa Dawasco , Bi Everlasting Lyaro alisema taarifa hizo za uzushi zimesambazwa na watu wachache ili kuchafua taswira ya shirika hilo na pia kuihusisha Dawasco moja kwa moja na mlipuko wa kipindupindu ulioingia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YtH7OBkQH4Q/VkB81mYQiHI/AAAAAAADB_U/qQ4vYnb3BpM/s72-c/New%2BPicture.png)
DAWASCO YAKANUSHA KUSAMBAZA MAJI YENYE KINYESI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-YtH7OBkQH4Q/VkB81mYQiHI/AAAAAAADB_U/qQ4vYnb3BpM/s1600/New%2BPicture.png)
Katika gazeti la Mzalendo lilikuwa na kichwa cha habari “Wengi Dar watumia maji yenye kinyesi” na upande wa gazeti la Majira lilibeba kichwa cha habari “Maji machafu yaathiri Dar”. Ndani ya habari hizo waandishi wameelezea shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO) kama moja ya...
10 years ago
GPLWAKAZI WA BUGURUNI WALALAMIKIA KUONGEZEKA KWA UCHAFU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ693JhtbMu6u27Ji7YC0cnzkASkIWI7vwg8wbUkwcEx7ZyfBjhaUo7kFOdfmkY2-hI*f2H5OIO4FdxtaEdYvNt9E/Soko.jpg?width=650)
SOKO LA BUGURUNI: SHILINGI MIL.27 HUKUSANYWA KWA MWEZI, LAKINI HALI YA UCHAFU SOKONI HAPO NI HATARI
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
DAWASCO yadhibiti upotevu wa maji
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) limeamua kudhibiti upotevu wa maji katika Jiji la Dar es Salaam ambao unawapunguzia mapato. Ofisa Uhusiano wa shirika hilo, Everlasting Lyaro,...
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Dawasco yazima mitambo ya maji
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) limezima mitambo miwili ya uzalishaji maji kwenye mitambo yake ya Ruvu Juu uliopo Mlandizi, mkoani Pwani na Mtoni uliopo Temeke, Dar...
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Dawasco yapandisha bei ya maji
10 years ago
GPLMAJI YA CHEMBA YA UCHAFU YAZAGAA SOKONI MANZESE
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Tatizo la maji kubaki historia — Dawasco
DAR ES SALAAM ni miongoni mwa majiji ambayo yamekuwa yakikua kwa kasi barani Afrika. Ukuaji huo umekuwa ukienda sambamba na ongezeko la idadi ya watu wanaokuja kutembea na kuishi jijini...
10 years ago
Habarileo13 Mar
Mkurugenzi, Meneja wa Maji Dawasco watakiwa kujitathmini
NAIBU Waziri wa Maji, Amos Makalla amewataka watendaji wakuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka jijini Dar es Salaam (Dawasco), Mkurugenzi wa Maji na Meneja wa Maji kujitathmini na kuona kama wanafaa kufanya kazi hiyo ama waachie nafasi zao.