DAWASCO YAKANUSHA KUSAMBAZA MAJI YENYE KINYESI.

Mnamo tarehe 08/11/2015 Magazeti ya Mzalendo na Majira yaliandika habari zilizolenga upotoshaji na taharuki kwa wananchi na hususani watumiaji wa Maji kwa mkoa wa Dar es salaam wanaohudumiwa na DAWASCO.
Katika gazeti la Mzalendo lilikuwa na kichwa cha habari “Wengi Dar watumia maji yenye kinyesi” na upande wa gazeti la Majira lilibeba kichwa cha habari “Maji machafu yaathiri Dar”. Ndani ya habari hizo waandishi wameelezea shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO) kama moja ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
“HATUSAMBAZI MAJI YENYE UCHAFU BUGURUNI”- DAWASCO

Akizungumza na gazeti hili, Kaimu Meneja Uhusiano wa Dawasco , Bi Everlasting Lyaro alisema taarifa hizo za uzushi zimesambazwa na watu wachache ili kuchafua taswira ya shirika hilo na pia kuihusisha Dawasco moja kwa moja na mlipuko wa kipindupindu ulioingia...
10 years ago
Mtanzania27 Mar
Wazoa maji ya kinyesi kwa mikono
Jonas Mushi na Tunu Nassoro(TEC), Dar es Salaam
SIKU chache baada ya kutokea mafuriko makubwa katika eneo la Buguruni kwa Mnyamani, wakazi wa eneo hilo wako hatarini kukumbwa na mlipuko wa magonjwa baada ya nyumba zao kujaa uchafu uliombatana na kinyesi.
Hali hiyo, imesababisha wananchi hao kulazimika kuzoa uchafu huo kwa kutumia mikono bila kuwa na vifaa maalumu, jambo ambalo linahatarisha afya zao.
MTANZANIA ilifika eneo hilo na kushuhudia watu wakichota maji machafu ambayo walidai...
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Bill Gates anywa maji ya kinyesi
10 years ago
StarTV08 Jan
Bill Gates anywa maji ya kinyesi cha binadamu.
Mmiliki wa kampuni ya Microsoft Bill Gates amekunywa maji yaliotengenezwa kutokana na kinyesi cha binaadamu kama maonyesho ya teknolojia mpya itakayoweza kutoa maji safi katika mataifa yanayoendelea.
Mwanzilishi huyo wa Microsoft amesema kuwa ataisambaza mitambo ya teknolojia hiyo mpya kote duniani baada ya kuifanyia majaribio mwishoni mwa mwaka huu.
Teknolojia hiyo imeungwa mkono na shirika la WaterAid ambalo limesema kuwa itasaidia sana katika maeneo ya miji.
Kulingana na shirika hilo la...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Wanasayansi ‘Bongo’ kusafisha maji ya kinyesi kuwa ya kunywa
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Dawasco yapandisha bei ya maji
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Dawasco yazima mitambo ya maji
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) limezima mitambo miwili ya uzalishaji maji kwenye mitambo yake ya Ruvu Juu uliopo Mlandizi, mkoani Pwani na Mtoni uliopo Temeke, Dar...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
DAWASCO yadhibiti upotevu wa maji
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) limeamua kudhibiti upotevu wa maji katika Jiji la Dar es Salaam ambao unawapunguzia mapato. Ofisa Uhusiano wa shirika hilo, Everlasting Lyaro,...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Tatizo la maji kubaki historia — Dawasco
DAR ES SALAAM ni miongoni mwa majiji ambayo yamekuwa yakikua kwa kasi barani Afrika. Ukuaji huo umekuwa ukienda sambamba na ongezeko la idadi ya watu wanaokuja kutembea na kuishi jijini...