Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasayansi ‘Bongo’ kusafisha maji ya kinyesi kuwa ya kunywa

Umeshikwa na kiu? Unaingia katika duka lililo jirani na kununua maji ya chupa kwa ajili ya kunywa. Lakini ukapatwa na udadisi kutaka kujua maji hayo yametengenezwa na nini. Unaposoma kilichotumika kutengeneza maji hayo, unagundua kuwa yametengenezwa kwa kinyesi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Watafiti UDSM kusafisha majitaka kuwa ya kunywa

Kitengo cha Utafiti cha Idara ya Uhandisi, Teknolojia na Madini (COET) cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kipo katika mchakato wa kusafisha majitaka yanayotokana na kinyesi na kuyarejeleza kuwa safi na salama kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.

 

10 years ago

Michuzi

Mbunge wa Ludewa,Mh. Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji Jimboni kwake kwa kunywa maji ya Mtoni

Mbunge wa jimbo la Ludewa,Mh. Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji kwa kunywa maji ya mto kwa majani ya mgomba maji ambayo wapiga kura wake wa kijiji cha Madindo Mlangali wamekuwa wakiyatumia. Mbunge huyo mbali ya kuzindua pia alitoa msaada wa matenki makubwa ya maji mawili na vifaa mbali mbali juzi.(picha na Francis GodwinBlog)

 

10 years ago

Mtanzania

Wazoa maji ya kinyesi kwa mikono

Jonas Mushi na Tunu Nassoro(TEC), Dar es Salaam
SIKU chache baada ya kutokea mafuriko makubwa katika eneo la Buguruni kwa Mnyamani, wakazi wa eneo hilo wako hatarini kukumbwa na mlipuko wa magonjwa baada ya nyumba zao kujaa uchafu uliombatana na kinyesi.
Hali hiyo, imesababisha wananchi hao kulazimika kuzoa uchafu huo kwa kutumia mikono bila kuwa na vifaa maalumu, jambo ambalo linahatarisha afya zao.
MTANZANIA ilifika eneo hilo na kushuhudia watu wakichota maji machafu ambayo walidai...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bill Gates anywa maji ya kinyesi

Bill Gates amekunywa maji yaliyotengezwa kutokana na kinyesi cha binaadamu kama maonyesho ya teknolojia mpya ya maji safi

 

9 years ago

Michuzi

DAWASCO YAKANUSHA KUSAMBAZA MAJI YENYE KINYESI.

Mnamo tarehe 08/11/2015 Magazeti ya Mzalendo na Majira yaliandika habari zilizolenga  upotoshaji na taharuki kwa wananchi na hususani watumiaji wa Maji kwa mkoa wa Dar es salaam wanaohudumiwa na DAWASCO.
Katika gazeti la Mzalendo lilikuwa na kichwa cha habari “Wengi Dar watumia maji yenye kinyesi” na upande wa gazeti la Majira lilibeba kichwa cha habari “Maji machafu yaathiri Dar”. Ndani ya habari hizo waandishi wameelezea shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO) kama moja ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwimba kuanza kunywa maji safi

MBUNGE wa Kwimba mkoani Mwanza, Shanif Mansoor (CCM), amewahakikishia wananchi wa Ngudu na Mhalo kwamba ifikapo Machi wataanza kupata majisafi kutoka Ziwa Victoria. Alisema kuanzia Juni hadi Oktoba, wakazi wa...

 

10 years ago

StarTV

Bill Gates anywa maji ya kinyesi cha binadamu.

Mmiliki wa kampuni ya Microsoft Bill Gates amekunywa maji yaliotengenezwa kutokana na kinyesi cha binaadamu kama maonyesho ya teknolojia mpya itakayoweza kutoa maji safi katika mataifa yanayoendelea.

Mwanzilishi huyo wa Microsoft amesema kuwa ataisambaza mitambo ya teknolojia hiyo mpya kote duniani baada ya kuifanyia majaribio mwishoni mwa mwaka huu.

Teknolojia hiyo imeungwa mkono na shirika la WaterAid ambalo limesema kuwa itasaidia sana katika maeneo ya miji.

Kulingana na shirika hilo la...

 

10 years ago

Vijimambo

Wanafunzi 39 walazwa kunywa maji yenye petroli

Wanafunzi 39 wa Shule ya msingi ya Fahari jijini Dar es Salaam wanapatiwa matibabu katika Hospitali ya Zakhem, baada ya kunywa maji yanayohisiwa kuchanganywa na mafuta ya petroli.

Hata hivyo, wanafunzi watatu wanashikiliwa na Jeshi la polisi wakituhumiwa kuhusika na tukio hilo.Tukio hilo limetokea jana asubuhi wakati wakipata chai na kunywa maji hayo yaliyohifadhiwa kwenye plastiki maalum linalomilikiwa na shule hiyo.

Mwalimu wa zamu, Ali Elias, alisema tukio hilo limesababisha wanafunzi wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sokwe wagundua kifaa cha kunywa maji

Watafiti wamegundua kifaa kipya kinachotumiwa na idadi kubwa ya masokwe kunywa maji .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani