Bill Gates anywa maji ya kinyesi cha binadamu.
Mmiliki wa kampuni ya Microsoft Bill Gates amekunywa maji yaliotengenezwa kutokana na kinyesi cha binaadamu kama maonyesho ya teknolojia mpya itakayoweza kutoa maji safi katika mataifa yanayoendelea.
Mwanzilishi huyo wa Microsoft amesema kuwa ataisambaza mitambo ya teknolojia hiyo mpya kote duniani baada ya kuifanyia majaribio mwishoni mwa mwaka huu.
Teknolojia hiyo imeungwa mkono na shirika la WaterAid ambalo limesema kuwa itasaidia sana katika maeneo ya miji.
Kulingana na shirika hilo la...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Bill Gates anywa maji ya kinyesi
10 years ago
GPL18 Aug
10 years ago
Dewji Blog17 Feb
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Bill Gates kusaidia kupambana na Ebola
9 years ago
Bongo530 Oct
Video: Rick Ross — Bill Gates
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Msaada wa Bill Gates kunufaisha wakulima
11 years ago
Habarileo06 Apr
BRN yampongeza Bill Gates kusaidia kilimo
NAIBU Mtendaji Mkuu anayeshughulikia Kilimo katika Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Peniel Lyimo ameipongeza taasisi ya Bill and Melinda Gates kwa kusaidia maboresho ya sekta ya kilimo nchini.
11 years ago
San Jose Mercury News28 Jan
Bill Gates, wife to be Stanford commencement speakers
Stanford Report
San Jose Mercury News
Philanthropists Bill and Melinda Gates, founders and co-chairs of the Gates Foundation, have been selected to be the 2014 commencement speakers at Stanford University on June 15, the university announced Monday. "Bill and Melinda Gates have taken on ...
Bill and Melinda Gates will be the 2014 Commencement speakers at StanfordStanford Report
Bill and Melinda Gates named 2014 Commencement speakersThe...
10 years ago
BBCSwahili03 Mar
Forbes:Bill Gates ni tajiri zaidi duniani