Forbes:Bill Gates ni tajiri zaidi duniani
Bwenyenye mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft, Bill Gates ndiye tajiri nambari moja duniani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vu2giU6L5Odw9fgRj5OPdvAM3*Fs4gXrwbrj3h0oRaq5wH2GFP*sd*zOTPtRyKyvaSr6igurjcycrTFYb1crcI9mEYw4su-t/11021250_946535928725068_3604363840028674416_n.jpg?width=650)
FORBES: BILL GATES NI TAJIRI NAMBA MOJA DUNIANI
10 years ago
Bongo503 Mar
Forbes 2015: Dewji amtoa Rostam Aziz kwenye nafasi ya kwanza kama mtu tajiri zaidi Tanzania!
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Real Madri klabu tajiri zaidi duniani
10 years ago
Dewji Blog23 Jan
Real Madrid yatajwa kuwa Club tajiri zaidi duniani
Real Madrid, mabingwa mara kumi wa Ulaya, wameweza kushikilia nafasi ya kwanza kama timu tajiri zaidi duniani kwa mwaka wa kumi mfululizo, katika orodha ya Deloitte ya timu tajiri duniani.
Manchester United imesogea hadi nafasi ya pili kutoka ya nne, katika tathmini iliyofanywa kwa kuzingatia mapato ya msimu wa 2013-14.
Bayern Munich, Barcelona na Paris Saint-Germain zimechukua nafasi ya tatu, nne na tano.
Klabu za England za Manchester City, Chelsea, Arsenal na Liverpool zimo katika nafasi...
9 years ago
Bongo527 Oct
Hizi ndizo timu duniani (michezo yote) zenye thamani zaidi kwa mujibu wa Forbes
11 years ago
TheCitizen09 Mar
Gates back to Forbes’ richest list
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Real Madrid yatajwa kuwa klabu tajiri zaidi duniani, Man Utd, FC Barcelona zafuatia!!
Timu zinazoongoza kwa utajiri duniani..
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Klabu ya Real Madrid ya Hispania imetajwa kuwaklabu ya mpira wa miguu tajiri zaidi duniani kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na chuo cha biashara cha Wingereza, London School of Marketing.
Katika utafiti huo umeonyesha kuwa Real Madrid inautajiri wa Pauni Bilioni 2.070 ikifatiwa na Manchester United ya Wingereza iliyotajwa kuwa na utajiri wa Pauni Bilioni 2.050 na klabu ya Barcelona ikishika nafasi ya tatu kwa kuwa na...
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
FORBES lamtaja mwanamichezo tajiri