Real Madrid yatajwa kuwa klabu tajiri zaidi duniani, Man Utd, FC Barcelona zafuatia!!
Timu zinazoongoza kwa utajiri duniani..
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Klabu ya Real Madrid ya Hispania imetajwa kuwaklabu ya mpira wa miguu tajiri zaidi duniani kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na chuo cha biashara cha Wingereza, London School of Marketing.
Katika utafiti huo umeonyesha kuwa Real Madrid inautajiri wa Pauni Bilioni 2.070 ikifatiwa na Manchester United ya Wingereza iliyotajwa kuwa na utajiri wa Pauni Bilioni 2.050 na klabu ya Barcelona ikishika nafasi ya tatu kwa kuwa na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
REAL MADRID, MAN UTD KLABU TAJIRI DUNIANI
10 years ago
Dewji Blog23 Jan
Real Madrid yatajwa kuwa Club tajiri zaidi duniani
Real Madrid, mabingwa mara kumi wa Ulaya, wameweza kushikilia nafasi ya kwanza kama timu tajiri zaidi duniani kwa mwaka wa kumi mfululizo, katika orodha ya Deloitte ya timu tajiri duniani.
Manchester United imesogea hadi nafasi ya pili kutoka ya nne, katika tathmini iliyofanywa kwa kuzingatia mapato ya msimu wa 2013-14.
Bayern Munich, Barcelona na Paris Saint-Germain zimechukua nafasi ya tatu, nne na tano.
Klabu za England za Manchester City, Chelsea, Arsenal na Liverpool zimo katika nafasi...
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Real Madri klabu tajiri zaidi duniani
5 years ago
Mirror Online22 Mar
Liverpool eye Fabian Ruiz transfer amid Man Utd, Real Madrid and Barcelona interest
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Real Madrid ndio kilabu tajiri duniani
5 years ago
Mirror Online19 Mar
Man Utd set Juventus and Real Madrid new asking price for Paul Pogba transfer
5 years ago
The Sun14 Mar
Man Utd news LIVE: Why Dybala move failed, De Gea Real Madrid transfer back on, Chelsea eye Henderson
10 years ago
BBCSwahili23 Mar
Real Madrid yachapwa na Barcelona 2 - 1
10 years ago
GPL
Tutawapwelepweta, Barcelona vs Real Madrid