Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tutawapwelepweta, Barcelona vs Real Madrid

BARCELONA, Hispania SIRI ni moja ni kuwa kama Real Madrid inahitaji kutwaa ubingwa wa La Liga msimu huu basi inatakiwa kuhakikisha haipotezi mchezo wa keshokutwa Jumapili dhidi ya Barcelona kwenye Uwanja wa Camp Nou. Takwimu zinaonyesha kuwa mechi za miaka ya hivi karibuni baina ya timu hizo ambayo inajulikana kwa jina la El Clásico, huwa inakuwa na faida kwa Madrid kama inashinda kwenye uwanja huo unaomilikiwa na Barcelona....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Real Madrid 0-4 Barcelona El Clasico

Kocha wa Madrid,Rafael Benitez anawashauri vijana wake wasiomboleze sana kufuatoa kichapo cha 0-4 dhidi ya Barcelona katika mechi ya El Clasico.

 

10 years ago

BBCSwahili

Real Madrid yachapwa na Barcelona 2 - 1

Real Madrid jana ilidondokea pua katika mechi ya kukata na shoka baina yake na mahasimu wao Barcelonakukubali kichapo cha magoli 2 -1.

 

5 years ago

BBCSwahili

Real Madrid v Barcelona: Kuchuana Jumapili

Ikiwa bado kuna mechi 13 zimesalia, huku Barcelona ikiongoza dhidi ya Real Madrid kwa alama mbili, Mechi ya El Clasico huko Bernabeu siku ya Jumapili inaweza kuwa muhimu katika kuwania taji la La Liga inayolitafuta kwa miaka sasa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Barcelona yavunja rekodi ya Real Madrid, ipo hapa

2341052_heroa

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Klabu ya Barcelona ya nchini Hispania imefanikiwa kuvunja rekodi iliyowekwa na wapinzani wao wakubwa Real Madrid ambayo waliiweka mwaka 2014.

Real Madrid mwaka jana ilifanikiwa kufunga magoli 178 ambayo yalikuwa hayajawahi kufungwa na klabu yoyote katika historia ya klabu ya Hispania.

Awali kabla ya mchezo kati ya Barcelona na Real Betis, Barcelona ilikuwa na magoli 176 na baada ya kuibuka na ushindi wa goli nne kwa bila dhidi ya Real Betis sasa Barcelona ndiyo...

 

9 years ago

Africanjam.Com

VIDEO: REAL MADRID 0 - 4 BARCELONA "El Classico" (All Goals and Highlights 21.11.2015)



Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

5 years ago

Goal.Com

Real Madrid didn't deserve to beat Barcelona in El Clasico - Amor

Real Madrid didn't deserve to beat Barcelona in El Clasico - Amor  Goal.comPlayer Ratings: Real Madrid 2 - Barcelona 0; 2020 El Clasico  Managing MadridWorst Madrid? Id sign to win every Clasico like that – Ramos hits back at Pique  BeSoccer ENRonaldo watches El Clasico at Bernabeu after Juve-Inter postponed due to coronavirus  Goal.comThree answers and three questions from Real Madrid’s Clásico victory  Managing MadridView Full coverage on Google...

 

9 years ago

MillardAyo

FC Barcelona yavunja mkataba na mchezaji saa chache baada ya kumsajili, kisa Real Madrid …

Mapenzi ya wachezaji katika vilabu fulani barani Ulaya, imekuwa kawaida hata kama hawavichezei. December 28 klabu ya FC Barcelona imeingia kwenye headlines baada ya kumsainisha mchezaji na kisha kufuta mkataba wake masaa machache baada ya kugundua kuwa ametweet vitu ambavyo vinaihusu timu ya Real Madrid. Baada ya kufuzu majaribio na Barcelona B Sergi Guardiola alisaini […]

The post FC Barcelona yavunja mkataba na mchezaji saa chache baada ya kumsajili, kisa Real Madrid … appeared first on...

 

5 years ago

Liverpool Echo

Philippe Coutinho return assessed as Jurgen Klopp given firm Real Madrid and Barcelona message

Philippe Coutinho return assessed as Jurgen Klopp given firm Real Madrid and Barcelona message  Liverpool EchoLiverpool tipped to make 'phenomenal' signing to transform ageing squad  Teamtalk.comFormer Liverpool striker makes Timo Werner prediction which is bad news for Chelsea  Football.LondonLiverpool tipped to make "phenomenal" transfer to rejuvenate ageing squad  Mirror OnlineClub expect Liverpool to move to sign £190000-a-week attacker – Report  Paisley GatesView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Dewji Blog

Real Madrid yatajwa kuwa klabu tajiri zaidi duniani, Man Utd, FC Barcelona zafuatia!!

barca

Timu zinazoongoza kwa utajiri duniani..

Na Rabi Hume,Modewjiblog 

Klabu ya Real Madrid ya Hispania imetajwa kuwaklabu ya mpira wa miguu tajiri zaidi duniani kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na chuo cha biashara cha Wingereza, London School of Marketing.

Katika utafiti huo umeonyesha kuwa Real Madrid inautajiri wa Pauni Bilioni 2.070 ikifatiwa na Manchester United ya Wingereza iliyotajwa kuwa na utajiri wa Pauni Bilioni 2.050 na klabu ya Barcelona ikishika nafasi ya tatu kwa kuwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani