Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


REAL MADRID, MAN UTD KLABU TAJIRI DUNIANI

Wacheza wa timu ya Real Madrid. Takwimu zilizotolewa na Deloitte, ambao ni Wataalam wakubwa wa Mahesabu Duniani zinaifanya Real Madrid kuendelea kukaa kileleni mwa vilabu tajiri Zaidi. Manchester United wanashika nafasi ya pili katika listi hii wakipanda kutoka nafasi ya nne,huku mapato ya mwaka 2013/14 yakitumika kama kigezo. Timu kumi za mwanzo zote zinatoka katika ligi tano kubwa barani… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Real Madrid yatajwa kuwa klabu tajiri zaidi duniani, Man Utd, FC Barcelona zafuatia!!

barca

Timu zinazoongoza kwa utajiri duniani..

Na Rabi Hume,Modewjiblog 

Klabu ya Real Madrid ya Hispania imetajwa kuwaklabu ya mpira wa miguu tajiri zaidi duniani kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na chuo cha biashara cha Wingereza, London School of Marketing.

Katika utafiti huo umeonyesha kuwa Real Madrid inautajiri wa Pauni Bilioni 2.070 ikifatiwa na Manchester United ya Wingereza iliyotajwa kuwa na utajiri wa Pauni Bilioni 2.050 na klabu ya Barcelona ikishika nafasi ya tatu kwa kuwa na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Real Madri klabu tajiri zaidi duniani

Real Madrid ndio klabu tajiri zaidi duniani kwa msimu wa tisa mfululizo kuambatana na orodha iliyochapishwa na kampuni Deloitte.

 

10 years ago

BBCSwahili

Real Madrid ndio kilabu tajiri duniani

Real Madrid ndio timu tajiri zaidi kwa mwaka wa tatu mfululizo kulingana na jarida la biashara la Forbes.

 

10 years ago

Dewji Blog

Real Madrid yatajwa kuwa Club tajiri zaidi duniani

Real-Madrid-CF-2014-2015-First-Team-Squad-Wallpaper-1366x768

Real Madrid, mabingwa mara kumi wa Ulaya, wameweza kushikilia nafasi ya kwanza kama timu tajiri zaidi duniani kwa mwaka wa kumi mfululizo, katika orodha ya Deloitte ya timu tajiri duniani.

Manchester United imesogea hadi nafasi ya pili kutoka ya nne, katika tathmini iliyofanywa kwa kuzingatia mapato ya msimu wa 2013-14.

Bayern Munich, Barcelona na Paris Saint-Germain zimechukua nafasi ya tatu, nne na tano.

Klabu za England za Manchester City, Chelsea, Arsenal na Liverpool zimo katika nafasi...

 

5 years ago

Mirror Online

Man Utd set Juventus and Real Madrid new asking price for Paul Pogba transfer

Man Utd set Juventus and Real Madrid new asking price for Paul Pogba transfer  Mirror OnlineOpinion: 5 youngsters who could break through at Manchester United next season  CaughtOffsidePaul Pogba and Mino Raiola have four reasons to stay at Manchester United  Manchester Evening NewsMan Utd's best line-up? Solskjaer could follow Les Bleus-print to integrate both Pogba and Fernandes  SquawkaDimitar Berbatov questions Paul Pogba and Bruno Fernandes partnership  The Peoples PersonView Full...

 

5 years ago

Mirror Online

Liverpool eye Fabian Ruiz transfer amid Man Utd, Real Madrid and Barcelona interest

Liverpool eye Fabian Ruiz transfer amid Man Utd, Real Madrid and Barcelona interest  Mirror OnlineLiverpool interested in signing £74m-rated Serie A star  CaughtOffsideFabian Ruiz's agent fuels rumours of return to Spain amid links to Barcelona and Real Madrid  Daily MailAgent of Liverpool, Man Utd target makes revelation over contract  Teamtalk.comTransfer Talk Liverpool join Barca, Real in race for Napoli's Ruiz  ESPN IndiaView Full coverage on Google...

 

5 years ago

The Sun

Man Utd news LIVE: Why Dybala move failed, De Gea Real Madrid transfer back on, Chelsea eye Henderson

Man Utd news LIVE: Why Dybala move failed, De Gea Real Madrid transfer back on, Chelsea eye Henderson  The SunSterling addresses 11-game goal drought & awful record against Man Utd ahead of City's derby date  Goal.comManchester City to open Kevin De Bruyne, Raheem Sterling contract talks?  Sports Mole6.30pm Man Utd news LIVE: Pogba’s coronavirus message, Ighalo and players wear masks to training, Prem off u  The SunVideo: Premier League: 5 things - Man United complete league double over...

 

10 years ago

Mtanzania

Real Madrid yatwaa Kombe la Dunia la klabu

realRABAT, MOROCCO

TIMU ya Real Madrid imefanikiwa kuchukua ubingwa wa Kombe la Dunia la klabu, baada ya kuifunga San Lorenzo ya Argentina mabao 2-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Marrakesh, Morocco usiku wa kuamkia jana.

Ubingwa huo umeifanya Real Madrid kuwa na mwaka mzuri kihistoria kwani imechukua taji la nne mwaka huu, likiwemo hilo ambalo imelitwaa kwa mara ya kwanza.

Baadhi ya mataji mengine ambayo Madrid imefanikiwa kutwaa mwaka huu ni yale ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Kombe la Mfalme (Copa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Real Madrid kidedea klabu Bingwa Ulaya.

Michuano ya klabu Bingwa ulaya imeendelea kwa michezo kadhaa ikiwa ni hatua ya makundi kuelekea hatua ya 16 bora.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani