REAL MADRID, MAN UTD KLABU TAJIRI DUNIANI
![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2QnP0-m7kiHdc4adksgePpeikNFqj4Sg6SoTG-kO8nriIxgFBhBUAHDvuvEToIzJt1JkgCIPpUzEIFCCzEh73aQ/1412540566977_wps_42_MADRID_SPAIN_OCTOBER_05_T.jpg?width=750)
Wacheza wa timu ya Real Madrid. Takwimu zilizotolewa na Deloitte, ambao ni Wataalam wakubwa wa Mahesabu Duniani zinaifanya Real Madrid kuendelea kukaa kileleni mwa vilabu tajiri Zaidi. Manchester United wanashika nafasi ya pili katika listi hii wakipanda kutoka nafasi ya nne,huku mapato ya mwaka 2013/14 yakitumika kama kigezo. Timu kumi za mwanzo zote zinatoka katika ligi tano kubwa barani… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Real Madrid yatajwa kuwa klabu tajiri zaidi duniani, Man Utd, FC Barcelona zafuatia!!
Timu zinazoongoza kwa utajiri duniani..
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Klabu ya Real Madrid ya Hispania imetajwa kuwaklabu ya mpira wa miguu tajiri zaidi duniani kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na chuo cha biashara cha Wingereza, London School of Marketing.
Katika utafiti huo umeonyesha kuwa Real Madrid inautajiri wa Pauni Bilioni 2.070 ikifatiwa na Manchester United ya Wingereza iliyotajwa kuwa na utajiri wa Pauni Bilioni 2.050 na klabu ya Barcelona ikishika nafasi ya tatu kwa kuwa na...
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Real Madri klabu tajiri zaidi duniani
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Real Madrid ndio kilabu tajiri duniani
10 years ago
Dewji Blog23 Jan
Real Madrid yatajwa kuwa Club tajiri zaidi duniani
Real Madrid, mabingwa mara kumi wa Ulaya, wameweza kushikilia nafasi ya kwanza kama timu tajiri zaidi duniani kwa mwaka wa kumi mfululizo, katika orodha ya Deloitte ya timu tajiri duniani.
Manchester United imesogea hadi nafasi ya pili kutoka ya nne, katika tathmini iliyofanywa kwa kuzingatia mapato ya msimu wa 2013-14.
Bayern Munich, Barcelona na Paris Saint-Germain zimechukua nafasi ya tatu, nne na tano.
Klabu za England za Manchester City, Chelsea, Arsenal na Liverpool zimo katika nafasi...
5 years ago
Mirror Online19 Mar
Man Utd set Juventus and Real Madrid new asking price for Paul Pogba transfer
5 years ago
Mirror Online22 Mar
Liverpool eye Fabian Ruiz transfer amid Man Utd, Real Madrid and Barcelona interest
5 years ago
The Sun14 Mar
Man Utd news LIVE: Why Dybala move failed, De Gea Real Madrid transfer back on, Chelsea eye Henderson
10 years ago
Mtanzania22 Dec
Real Madrid yatwaa Kombe la Dunia la klabu
RABAT, MOROCCO
TIMU ya Real Madrid imefanikiwa kuchukua ubingwa wa Kombe la Dunia la klabu, baada ya kuifunga San Lorenzo ya Argentina mabao 2-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Marrakesh, Morocco usiku wa kuamkia jana.
Ubingwa huo umeifanya Real Madrid kuwa na mwaka mzuri kihistoria kwani imechukua taji la nne mwaka huu, likiwemo hilo ambalo imelitwaa kwa mara ya kwanza.
Baadhi ya mataji mengine ambayo Madrid imefanikiwa kutwaa mwaka huu ni yale ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Kombe la Mfalme (Copa...
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Real Madrid kidedea klabu Bingwa Ulaya.