Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Real Madrid yatwaa Kombe la Dunia la klabu

realRABAT, MOROCCO

TIMU ya Real Madrid imefanikiwa kuchukua ubingwa wa Kombe la Dunia la klabu, baada ya kuifunga San Lorenzo ya Argentina mabao 2-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Marrakesh, Morocco usiku wa kuamkia jana.

Ubingwa huo umeifanya Real Madrid kuwa na mwaka mzuri kihistoria kwani imechukua taji la nne mwaka huu, likiwemo hilo ambalo imelitwaa kwa mara ya kwanza.

Baadhi ya mataji mengine ambayo Madrid imefanikiwa kutwaa mwaka huu ni yale ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Kombe la Mfalme (Copa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Barcelona yatwaa Kombe la FIFA Klabu Bingwa Dunia

Football Soccer - River Plate v FC Barcelona - FIFA Club World Cup Final - International Stadium Yokohama, Yokohama - 20/12/15 FC Barcelona celebrate winning the FIFA Club World Cup Final with the trophy Reuters / Thomas Peter Livepic

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Klabu ya Barcelona ya Hispania imetwaa Ubingwa wa FIFA Klabu Bingwa wa Dunia baada ya kuifunga klabu ya River Plate ya Argentina kwa goli 3 kwa bila katika mchezo wa fainali ya mashindano hayo yaliyofanyika nchini Japan.

Katika mchezo huo wa fainali nyota ya Barcelona ilianza kung`aa katika dakika ya 36 baada ya mshambuliaji wake Lionel Messi kuifungia timu hiyo goli la kwanza kwa kuunganisha mpira uliotoka kwa mchezaji mwenzake Neymar na baadae Luiz Suarez...

 

9 years ago

BBCSwahili

Real Madrid kidedea klabu Bingwa Ulaya.

Michuano ya klabu Bingwa ulaya imeendelea kwa michezo kadhaa ikiwa ni hatua ya makundi kuelekea hatua ya 16 bora.

 

10 years ago

GPL

REAL MADRID, MAN UTD KLABU TAJIRI DUNIANI

Wacheza wa timu ya Real Madrid. Takwimu zilizotolewa na Deloitte, ambao ni Wataalam wakubwa wa Mahesabu Duniani zinaifanya Real Madrid kuendelea kukaa kileleni mwa vilabu tajiri Zaidi. Manchester United wanashika nafasi ya pili katika listi hii wakipanda kutoka nafasi ya nne,huku mapato ya mwaka 2013/14 yakitumika kama kigezo. Timu kumi za mwanzo zote zinatoka katika ligi tano kubwa barani… ...

 

11 years ago

GPL

TIMU YA WATOTO WA MITAANI YA TANZANIA YATWAA KOMBE LA DUNIA BRAZIL

Timu ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania ambayo imetwaa Kombe la Dunia. Watoto hao ambao ni mabingwa wakishangilia na kiongozi wao, Mutani Yangwe .…

 

11 years ago

GPL

REAL MADRID WABEBA KOMBE LA MFALME,WAINYUKA BARCA

Mwanasoka bora wa dunia, Cristiano Ronaldo akiwa ameshika Kombe la Mfalme usiku wa kuamkia leo baada ya timu yake, Real Madrid kuifunga Barcelona Uwanja wa Mestalla mjini Valencia katika fainali. Ronaldo hakucheza sababu ya majeruhi. Ronaldo akimpongeza mfungaji wa bao la ushindi la Real , Gareth Bale katikati pamoja na kocha Msaidizi, Zinedine Zidane (kushoto). Kocha wa… ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Real Madrid yatajwa kuwa klabu tajiri zaidi duniani, Man Utd, FC Barcelona zafuatia!!

barca

Timu zinazoongoza kwa utajiri duniani..

Na Rabi Hume,Modewjiblog 

Klabu ya Real Madrid ya Hispania imetajwa kuwaklabu ya mpira wa miguu tajiri zaidi duniani kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na chuo cha biashara cha Wingereza, London School of Marketing.

Katika utafiti huo umeonyesha kuwa Real Madrid inautajiri wa Pauni Bilioni 2.070 ikifatiwa na Manchester United ya Wingereza iliyotajwa kuwa na utajiri wa Pauni Bilioni 2.050 na klabu ya Barcelona ikishika nafasi ya tatu kwa kuwa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Klabu bigwa-dunia Madrid yatinga fainali

Wakicheza katika dimba la Stade de Marrakech.Mabingwa wa Ulaya Real Madrid wamepata ushindi mnono wa goli 4-0 dhidi ya Cruz Azul

 

9 years ago

Bongo5

Kombe la dunia la Klabu: Sanfrecce Hiroshima ya Japan yazima matumaini ya TP Mazembe

_87185831_gettyimages-501182938

Matumaini ya TP Mazembe kufika kwenye fainali za kombe la dunia la klabu yamezimwa jana baada ya mabingwa hao wa Afrika kufungwa mabao 3-0 na Sanfrecce Hiroshima ya Japan.

_87185831_gettyimages-501182938

Mchezo huo ulipigwa kwenye uwanja wa Yanmar wa mjini Osaka, Japan.

Magoli hayo yalifungwa na Tsukasa Shiotani, Kazuhiko Chiba na Takuma Asano.

Kikosi cha Mazembe kilikuwa kikiundwa na wachezaji wa kimataifa kutoka Ivory Coast, Mali, Zambia, Tanzania, Ghana na mchezaji mmoja tu kutoka DR Congo.

Thomas Ulimwengu na...

 

5 years ago

Bongo5

Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League

Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.

Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.

Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.

Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.

Jamie Vardy alikomboa bao moja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani