Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


REAL MADRID WABEBA KOMBE LA MFALME,WAINYUKA BARCA

Mwanasoka bora wa dunia, Cristiano Ronaldo akiwa ameshika Kombe la Mfalme usiku wa kuamkia leo baada ya timu yake, Real Madrid kuifunga Barcelona Uwanja wa Mestalla mjini Valencia katika fainali. Ronaldo hakucheza sababu ya majeruhi. Ronaldo akimpongeza mfungaji wa bao la ushindi la Real , Gareth Bale katikati pamoja na kocha Msaidizi, Zinedine Zidane (kushoto). Kocha wa… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

The Sun

5.30pm Arsenal news LIVE: Martinelli to Real Madrid with Ceballos to Gunners, Aubameyang ‘pleased’ with Barca

5.30pm Arsenal news LIVE: Martinelli to Real Madrid with Ceballos to Gunners, Aubameyang ‘pleased’ with Barca  The SunCoronavirus in sport live updates: UEFA postpone Euro 2020 until 2021, Grand National cancelled, UFC schedule  talkSPORT.comManchester City postpone match due to Coronavirus  The Mag11am Arsenal news LIVE: Smalling £25m interest, Aubameyang wants Barcelona transfer, Arteta wife coronavirus  The SunCoronavirus in sport live updates: Boxing suspended, UEFA draw up plans to...

 

5 years ago

The Sun

7pm Arsenal news LIVE: Martinelli to Real Madrid with Ceballos to Gunners, Aubameyang ‘pleased’ with Barca int

7pm Arsenal news LIVE: Martinelli to Real Madrid with Ceballos to Gunners, Aubameyang ‘pleased’ with Barca int  The SunView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Mtanzania

Real Madrid yatwaa Kombe la Dunia la klabu

realRABAT, MOROCCO

TIMU ya Real Madrid imefanikiwa kuchukua ubingwa wa Kombe la Dunia la klabu, baada ya kuifunga San Lorenzo ya Argentina mabao 2-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Marrakesh, Morocco usiku wa kuamkia jana.

Ubingwa huo umeifanya Real Madrid kuwa na mwaka mzuri kihistoria kwani imechukua taji la nne mwaka huu, likiwemo hilo ambalo imelitwaa kwa mara ya kwanza.

Baadhi ya mataji mengine ambayo Madrid imefanikiwa kutwaa mwaka huu ni yale ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Kombe la Mfalme (Copa...

 

5 years ago

Bongo5

Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League

Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.

Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.

Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.

Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.

Jamie Vardy alikomboa bao moja...

 

10 years ago

Africanjam.Com

THIS IS WHAT ATLETICO MADRID SAYS ABOUT DAVID DE GEA JOINING REAL MADRID


De Gea joined United from Atletico, where he started his career, for £18.9million in 2011. A year earlier he was a crucial figure as Atleti won the Europa League.Tomas Ujfalusi was part of De Gea's defence that season and popular with the club's fans after spending three years in the Spanish capital; De Gea was equally liked, but Ujfalusi believes he will throw that away if he signs for Real because Atletico's fans would feel betrayed.
De Gea (left) was a team-mate of Tomas Ujfalusi (back...

 

9 years ago

MillardAyo

Headlines za Jose Mourinho kurudi Real Madrid zilipomfikia Rais wa Madrid Fiorentino Perez alijibu hivi ….

Najua bado headlines za Jose Mourinho kuwa ataenda wapi au kuifundisha klabu gani bado zinazidi kushika kasi, je ataenda kuifundisha klabu ya Manchester United au Real Madrid kama inavyoripotiwa au klabu gani. Ukiachana na stori za kujiunga na Man United, mwezi October Rais wa zamani wa Real Madrid Ramon Calderon alimkaribisha kwa mara ya pili Mourinho kujiunga […]

The post Headlines za Jose Mourinho kurudi Real Madrid zilipomfikia Rais wa Madrid Fiorentino Perez alijibu hivi …. appeared...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani