Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Klabu bigwa-dunia Madrid yatinga fainali

Wakicheza katika dimba la Stade de Marrakech.Mabingwa wa Ulaya Real Madrid wamepata ushindi mnono wa goli 4-0 dhidi ya Cruz Azul

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nusu fainali ya klabu bigwa ya dunia

Mabingwa wa Ulaya Real Madrid, wataingia dimbani kucheza na Cruz Azul ya Mexico.

 

11 years ago

Mwananchi

Real Madrid yaua, yatinga fainali

>Real Madrid imeendeleza ubabe kwa Bayern Munich baada ya kuichapa mabao 4-0 katika mechi ya marudiano ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya hivyo kutinga fainali kwa jumla ya mabao 5-0 kwa sababu katika mechi ya kwanza wiki moja iliyopita walishinda 1-0.

 

11 years ago

GPL

ATLETICO MADRID YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA

Diego Costa (kushoto) akishangilia na Koke baada ya kufunga bao la pili kwa mkwaju wa penalti. Fernando Torres (kulia) na Samuel Eto'o wakiwa hawaamini kilichowasibu. Kushoto ni Ramires.…

 

10 years ago

Vijimambo

TIMU YA JUVENTUS YATINGA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA BAADA YA KUIONDOSHA REAL MADRID

Mabingwa watetezi wa kombe la ligi ya mabingwa barani Ulaya, timu ya soka ya Real Madrid ya Hispania usiku wa kuamkia leo wamevuliwa ubingwa huo na bibi kizee cha Turin, Juventus ya Italia baada ya kulazimishwa sare ya kufungana bao 1-1. 
Katika mchezo huo wa marudiano wa hatua ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya, Juventus imesonga mbele kwa idadi ya mabao 3-2. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Italia, Juventus iliifunga Real Madrid magoli 2-1. Katika mchezo wa usiku wa kuamkia leo,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Australia yatinga fainali za Raga dunia

Timu ya taifa ya Australia ya mchezo wa raga imetinga hatua ya fainali ya michuano ya kombe la dunia

 

10 years ago

Mtanzania

Real Madrid yatwaa Kombe la Dunia la klabu

realRABAT, MOROCCO

TIMU ya Real Madrid imefanikiwa kuchukua ubingwa wa Kombe la Dunia la klabu, baada ya kuifunga San Lorenzo ya Argentina mabao 2-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Marrakesh, Morocco usiku wa kuamkia jana.

Ubingwa huo umeifanya Real Madrid kuwa na mwaka mzuri kihistoria kwani imechukua taji la nne mwaka huu, likiwemo hilo ambalo imelitwaa kwa mara ya kwanza.

Baadhi ya mataji mengine ambayo Madrid imefanikiwa kutwaa mwaka huu ni yale ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Kombe la Mfalme (Copa...

 

11 years ago

Michuzi

JUST IN: TIMU YA WATOTO WA MITAANI YATINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA NCHINI BRAZIL

Timu ya Taifa ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania imetinga fainali za mashindano ya Kombe la Dunia la Watoto wa Mitaani baada ya kuichapa Marekani mabao 6-1 katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali uliochezwa jana (Aprili 5 mwaka huu) jijini Rio de Janeiro, Brazil.
Hadi mapumziko Tanzania ilikuwa mbele kwa mabao 4-0. Bao pekee la Marekani katika mchezo huo ambayo hadi nusu fainali ilikuwa haijafungwa lilifungwa dakika za mwisho.
Kwa matokeo hayo, Tanzania inacheza nusu fainali na Burundi....

 

10 years ago

BBCSwahili

Klabu bigwa ulaya kuendelea leo

Ligi ya mabigwa wa ulaya itaendelea tena leo kwa michezo miwili kupigwa katika viwanja vya St. Jakob-Park na Veltins Arena.

 

10 years ago

BBCSwahili

Klabu bigwa ulaya ,Europa kupangwa kesho

Droo ya kupanga ratiba ya nusu fainali ya klabu bigwa na ile ya Europa ligi itafanyika kesho mchana,mjini Nyon huko Uswisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani