Klabu bigwa-dunia Madrid yatinga fainali
Wakicheza katika dimba la Stade de Marrakech.Mabingwa wa Ulaya Real Madrid wamepata ushindi mnono wa goli 4-0 dhidi ya Cruz Azul
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Nusu fainali ya klabu bigwa ya dunia
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Real Madrid yaua, yatinga fainali
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXzNtALqBToEdSZsrVZeM4Ra7si6zwmwakhg*FU6bEdpHc6F2RJqc6WW1Nq9U*xqDdAyPJZ51-PkFXFV3xsR1*C9/1.jpg)
ATLETICO MADRID YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uhn1b_AK3gA/VVQkX700JjI/AAAAAAAA9Q4/vFLb8yqQ3Fw/s72-c/A%2B1.jpg)
TIMU YA JUVENTUS YATINGA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA BAADA YA KUIONDOSHA REAL MADRID
![](http://3.bp.blogspot.com/-uhn1b_AK3gA/VVQkX700JjI/AAAAAAAA9Q4/vFLb8yqQ3Fw/s640/A%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zvv8zqEqEiw/VVQkZFXEmvI/AAAAAAAA9RQ/WsW49dSq26s/s640/A%2B6.jpg)
Katika mchezo huo wa marudiano wa hatua ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya, Juventus imesonga mbele kwa idadi ya mabao 3-2. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Italia, Juventus iliifunga Real Madrid magoli 2-1.
![](http://3.bp.blogspot.com/--526uyMMmdw/VVQkX8kN2lI/AAAAAAAA9Q8/P-X5PEqM-qQ/s640/A%2B2.jpg)
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
Australia yatinga fainali za Raga dunia
10 years ago
Mtanzania22 Dec
Real Madrid yatwaa Kombe la Dunia la klabu
RABAT, MOROCCO
TIMU ya Real Madrid imefanikiwa kuchukua ubingwa wa Kombe la Dunia la klabu, baada ya kuifunga San Lorenzo ya Argentina mabao 2-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Marrakesh, Morocco usiku wa kuamkia jana.
Ubingwa huo umeifanya Real Madrid kuwa na mwaka mzuri kihistoria kwani imechukua taji la nne mwaka huu, likiwemo hilo ambalo imelitwaa kwa mara ya kwanza.
Baadhi ya mataji mengine ambayo Madrid imefanikiwa kutwaa mwaka huu ni yale ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Kombe la Mfalme (Copa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YgFp4I6jcxA/U0FjCX99qxI/AAAAAAAFY1E/XqaPgNY6YTw/s72-c/watoto+wa+mitaani.jpg)
JUST IN: TIMU YA WATOTO WA MITAANI YATINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA NCHINI BRAZIL
![](http://2.bp.blogspot.com/-YgFp4I6jcxA/U0FjCX99qxI/AAAAAAAFY1E/XqaPgNY6YTw/s1600/watoto+wa+mitaani.jpg)
Hadi mapumziko Tanzania ilikuwa mbele kwa mabao 4-0. Bao pekee la Marekani katika mchezo huo ambayo hadi nusu fainali ilikuwa haijafungwa lilifungwa dakika za mwisho.
Kwa matokeo hayo, Tanzania inacheza nusu fainali na Burundi....
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Klabu bigwa ulaya kuendelea leo
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Klabu bigwa ulaya ,Europa kupangwa kesho