Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Klabu bigwa ulaya ,Europa kupangwa kesho

Droo ya kupanga ratiba ya nusu fainali ya klabu bigwa na ile ya Europa ligi itafanyika kesho mchana,mjini Nyon huko Uswisi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Klabu bigwa ulaya kuendelea leo

Ligi ya mabigwa wa ulaya itaendelea tena leo kwa michezo miwili kupigwa katika viwanja vya St. Jakob-Park na Veltins Arena.

 

10 years ago

BBCSwahili

Droo ya Europa Ligi kupangwa leo

Matokeo ya upangwaji wa droo ya timu 16 za ligi ya Europa zitafanyika leo nchini Uswisi

 

10 years ago

BBCSwahili

Nusu fainali ya klabu bigwa ya dunia

Mabingwa wa Ulaya Real Madrid, wataingia dimbani kucheza na Cruz Azul ya Mexico.

 

10 years ago

BBCSwahili

Robo fainali klabu bingwa kupangwa leo

Droo ya kupanga Mechi za robo fainali za uefa champion ligi itafanyika leo Jijini Nyon Uswisi, kuanzia Saa 8 Mchana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Klabu bigwa-dunia Madrid yatinga fainali

Wakicheza katika dimba la Stade de Marrakech.Mabingwa wa Ulaya Real Madrid wamepata ushindi mnono wa goli 4-0 dhidi ya Cruz Azul

 

9 years ago

MillardAyo

Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta

Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]

The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Klabu bingwa barani Ulaya

michuano ya Klabu Bigwa barani Ulaya ,Chelsea imetoa kipigo cha mbwa mwizi .

 

9 years ago

BBCSwahili

Droo ya Klabu Bingwa Ulaya leo

Droo ya kupanga mechi za raundi ya mtoano ya timu 16 bora zinazoshiriki klabu bingwa ulaya itapangwa leo mchana huko Nyon, Uswisi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kitimtim michuano ya Klabu Bingwa Ulaya

Michuano ya Klabu Bingwa Ulaya inaendelea tena hii leo kwa timu zile zinacheza round ya kwanza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani