Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Klabu bigwa ulaya kuendelea leo

Ligi ya mabigwa wa ulaya itaendelea tena leo kwa michezo miwili kupigwa katika viwanja vya St. Jakob-Park na Veltins Arena.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Klabu bigwa ulaya ,Europa kupangwa kesho

Droo ya kupanga ratiba ya nusu fainali ya klabu bigwa na ile ya Europa ligi itafanyika kesho mchana,mjini Nyon huko Uswisi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uefa:Klabu bingwa ulaya kuendelea leo

Ligi ya mabingwa ulaya itaendelea kutimua vumbi leo kwa michezo nane kuchezwa katika viwanja tofauti

 

10 years ago

BBCSwahili

Nusu fainali ya klabu bigwa ya dunia

Mabingwa wa Ulaya Real Madrid, wataingia dimbani kucheza na Cruz Azul ya Mexico.

 

10 years ago

BBCSwahili

Klabu bigwa-dunia Madrid yatinga fainali

Wakicheza katika dimba la Stade de Marrakech.Mabingwa wa Ulaya Real Madrid wamepata ushindi mnono wa goli 4-0 dhidi ya Cruz Azul

 

9 years ago

BBCSwahili

Droo ya Klabu Bingwa Ulaya leo

Droo ya kupanga mechi za raundi ya mtoano ya timu 16 bora zinazoshiriki klabu bingwa ulaya itapangwa leo mchana huko Nyon, Uswisi.

 

10 years ago

StarTV

Ligi ya Mabingwa Ulaya kuendelea tena leo.

Katika michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya leo kuna kivumbi kingine ambapo CSKA Moscow itakuwa na kibarua kigumu pale watakapowakaribisha Bayern Munich.

 
Wakati huo huo Man City waliopigwa bao moja na Bayern Munich watakutana na AC Roma iliyowapiga CSKA Moscow mabao matano katika mechi iliyopita.

 
Paris St G ya Ufaransa wao wanakutana uso kwa uso na Barcelona

 
Ukumbumbuke katika mechi ya wikendi iliyopita Paris St G walitoka sare na Ajax bao moja kwa moja.

 
Ajax inakutana leo na Apoel...

 

9 years ago

Dewji Blog

KLABU BINGWA ULAYA: Matokeo ya michezo ya jana na ratiba ya leo jamatano Novemba 25!

blj

Ligi ya Mabingwa barani Ulaya imeendelea hapo jana Jumanne kwa michezo 8 katika viwanja tofauti tofauti na haya ndiyo matokeo ya michezo hiyo

Ratiba ya michezo ya leo jumanne Novemba 24 katika ligi ya mabingwa Ulaya UEFA

GROUP: E

BATE Borisov 1 – 1 Bayer Leverkusen

Barcelona 6 – 1 Roma

GROUP: F

Arsenal 3 – 0 Dinamo Zagreb

Bayern Munich 4 – 0 Olympiakos

GROUP: G

Porto 0 – 2 Dynamo Kyiv

Maccabi Tel Aviv 0 – 4 Chelsea

GROUP: H

Zenit St. Petersburg 2 – 0 Valencia

Lyon 1 – 2 Gent

Ratiba ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta

Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]

The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Klabu bingwa barani Ulaya

michuano ya Klabu Bigwa barani Ulaya ,Chelsea imetoa kipigo cha mbwa mwizi .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani