Klabu bigwa ulaya kuendelea leo
Ligi ya mabigwa wa ulaya itaendelea tena leo kwa michezo miwili kupigwa katika viwanja vya St. Jakob-Park na Veltins Arena.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Klabu bigwa ulaya ,Europa kupangwa kesho
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Uefa:Klabu bingwa ulaya kuendelea leo
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Nusu fainali ya klabu bigwa ya dunia
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Klabu bigwa-dunia Madrid yatinga fainali
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Droo ya Klabu Bingwa Ulaya leo
10 years ago
StarTV30 Sep
Ligi ya Mabingwa Ulaya kuendelea tena leo.
Katika michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya leo kuna kivumbi kingine ambapo CSKA Moscow itakuwa na kibarua kigumu pale watakapowakaribisha Bayern Munich.
Wakati huo huo Man City waliopigwa bao moja na Bayern Munich watakutana na AC Roma iliyowapiga CSKA Moscow mabao matano katika mechi iliyopita.
Paris St G ya Ufaransa wao wanakutana uso kwa uso na Barcelona
Ukumbumbuke katika mechi ya wikendi iliyopita Paris St G walitoka sare na Ajax bao moja kwa moja.
Ajax inakutana leo na Apoel...
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
KLABU BINGWA ULAYA: Matokeo ya michezo ya jana na ratiba ya leo jamatano Novemba 25!
Ligi ya Mabingwa barani Ulaya imeendelea hapo jana Jumanne kwa michezo 8 katika viwanja tofauti tofauti na haya ndiyo matokeo ya michezo hiyo
Ratiba ya michezo ya leo jumanne Novemba 24 katika ligi ya mabingwa Ulaya UEFA
GROUP: E
BATE Borisov 1 – 1 Bayer Leverkusen
Barcelona 6 – 1 Roma
GROUP: F
Arsenal 3 – 0 Dinamo Zagreb
Bayern Munich 4 – 0 Olympiakos
GROUP: G
Porto 0 – 2 Dynamo Kyiv
Maccabi Tel Aviv 0 – 4 Chelsea
GROUP: H
Zenit St. Petersburg 2 – 0 Valencia
Lyon 1 – 2 Gent
Ratiba ya...
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta
Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]
The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Klabu bingwa barani Ulaya