Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nusu fainali ya klabu bigwa ya dunia

Mabingwa wa Ulaya Real Madrid, wataingia dimbani kucheza na Cruz Azul ya Mexico.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Klabu bigwa-dunia Madrid yatinga fainali

Wakicheza katika dimba la Stade de Marrakech.Mabingwa wa Ulaya Real Madrid wamepata ushindi mnono wa goli 4-0 dhidi ya Cruz Azul

 

10 years ago

BBCSwahili

Klabu bigwa ulaya kuendelea leo

Ligi ya mabigwa wa ulaya itaendelea tena leo kwa michezo miwili kupigwa katika viwanja vya St. Jakob-Park na Veltins Arena.

 

10 years ago

BBCSwahili

Klabu bigwa ulaya ,Europa kupangwa kesho

Droo ya kupanga ratiba ya nusu fainali ya klabu bigwa na ile ya Europa ligi itafanyika kesho mchana,mjini Nyon huko Uswisi.

 

11 years ago

Michuzi

Mats Hummels aipeleka Ujerumani nusu fainali kombe la dunia kwa kichwa

 

 

Mats Hummels  ameipaisha Ujerumani kwa kichwa na kuizimisha Ufaransa katika uwanja wa Maracana jijini Rio de Janeiro leo na kuipeleka nusu fainali. Beki huyo mwenye umri wa miaka 25 alifunga bao hilo la pekee dakika ya 13, na Ujerumani inayofundishwa na Joachim Low itaelekea Uwanja wa Belo Horizonte kupambana na mshindi wa robo fainal kati ya Brazil na Colombia baadaye  leo. Chini ni mabeseni yenye madonge ya barafu ambayo wachezaji wa Ujerumani walitumia kutuliza joto kali la jiji la Rio...

 

9 years ago

MillardAyo

Video na pichaz za ushindi wa FC Barcelona fainali ya klabu Bingwa Dunia, Messi na Suarez waingia nyavuni …

Michuano ya klabu Bingwa Dunia imeendelea tena kwa mchezo wa fainali kupigwa katika uwanja wa Nissan, mchezo wa fainali ya klabu Bingwa Dunia umepigwa kwa kuzikutanisha timu mbili klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambaye ni muwakilishi wa bara la Ulaya katika michuano hiyo dhidi ya klabu ya River Plate kutoka bara la America. Huu […]

The post Video na pichaz za ushindi wa FC Barcelona fainali ya klabu Bingwa Dunia, Messi na Suarez waingia nyavuni … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video)

Baada ya klabu ya TP Mazembe inayochezewa na washambuliaji wa wawili wa Tanzania Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kutolewa katika mashindano ya klabu Bingwa Dunia katika hatua ya robo fainali dhidi ya Sanfrecce kwa goli 3-0, December 17 ilikuwa ni zamu ya Mabingwa wa Ulaya FC Barcelona kutupa karata yao katika hatua ya nusu fainali. […]

The post Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video) appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani