Real Madrid yaua, yatinga fainali
>Real Madrid imeendeleza ubabe kwa Bayern Munich baada ya kuichapa mabao 4-0 katika mechi ya marudiano ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya hivyo kutinga fainali kwa jumla ya mabao 5-0 kwa sababu katika mechi ya kwanza wiki moja iliyopita walishinda 1-0.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uhn1b_AK3gA/VVQkX700JjI/AAAAAAAA9Q4/vFLb8yqQ3Fw/s72-c/A%2B1.jpg)
TIMU YA JUVENTUS YATINGA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA BAADA YA KUIONDOSHA REAL MADRID
![](http://3.bp.blogspot.com/-uhn1b_AK3gA/VVQkX700JjI/AAAAAAAA9Q4/vFLb8yqQ3Fw/s640/A%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zvv8zqEqEiw/VVQkZFXEmvI/AAAAAAAA9RQ/WsW49dSq26s/s640/A%2B6.jpg)
Katika mchezo huo wa marudiano wa hatua ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya, Juventus imesonga mbele kwa idadi ya mabao 3-2. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Italia, Juventus iliifunga Real Madrid magoli 2-1.
![](http://3.bp.blogspot.com/--526uyMMmdw/VVQkX8kN2lI/AAAAAAAA9Q8/P-X5PEqM-qQ/s640/A%2B2.jpg)
5 years ago
Bongo514 Feb
Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League
Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.
Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.
Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.
Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.
Jamie Vardy alikomboa bao moja...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--MeDKWNmFFA/VTeVpbsP0bI/AAAAAAAA7R4/iK3NDHWLNKc/s72-c/A%2B1.jpg)
NANI KWENDA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO, NI BINGWA MTETEZI REAL MADRID AU ATLETICO MADRID
![](http://3.bp.blogspot.com/--MeDKWNmFFA/VTeVpbsP0bI/AAAAAAAA7R4/iK3NDHWLNKc/s1600/A%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MAhM32ouThs/VTeVo6yvC8I/AAAAAAAA7R0/43qXR-ySkGg/s1600/A%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OKmlPzhIu6E/VTeVpfjbT8I/AAAAAAAA7SA/tbFbvj5FhsU/s1600/A%2B3.jpg)
Robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya...
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Klabu bigwa-dunia Madrid yatinga fainali
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXzNtALqBToEdSZsrVZeM4Ra7si6zwmwakhg*FU6bEdpHc6F2RJqc6WW1Nq9U*xqDdAyPJZ51-PkFXFV3xsR1*C9/1.jpg)
ATLETICO MADRID YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA
11 years ago
Mwananchi01 May
Ni Atletico, Real Madrid fainali
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
11 years ago
BBCSwahili01 May
Atletico na Real Madrid katika fainali