TIMU YA JUVENTUS YATINGA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA BAADA YA KUIONDOSHA REAL MADRID

Mabingwa watetezi wa kombe la ligi ya mabingwa barani Ulaya, timu ya soka ya Real Madrid ya Hispania usiku wa kuamkia leo wamevuliwa ubingwa huo na bibi kizee cha Turin, Juventus ya Italia baada ya kulazimishwa sare ya kufungana bao 1-1.
Katika mchezo huo wa marudiano wa hatua ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya, Juventus imesonga mbele kwa idadi ya mabao 3-2. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Italia, Juventus iliifunga Real Madrid magoli 2-1. Katika mchezo wa usiku wa kuamkia leo,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
11 years ago
GPL
ATLETICO MADRID YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA
10 years ago
Vijimambo
NANI KWENDA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO, NI BINGWA MTETEZI REAL MADRID AU ATLETICO MADRID



Robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya...
10 years ago
Mwananchi09 Mar
Ligi ya Mabingwa Ulaya: Real Madrid yanusa robo fainali
10 years ago
GPL
BARCELONA YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA
10 years ago
Vijimambo
FC BARCELONA YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA KWA JUMLA YA MABAO 5-3


Wakicheza katika uwanja wao wa nyumbani wa Allianz Arena uliofurika mashabiki wenye pumzi ya kushangilia bila kuchoka, Bayern waliokuwa na kibarua cha kuifunga Barcelona mabao 4-0 ili wasonge mbele hatua ya fainali, walijikuta wakimaliza dakika 90 za mchezo huo wakiwa na ushindi...
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Real Madrid v Man City: Kwanini Pep Guardiola huenda akafanya maaajabu katika Ligi ya Mabingwa Ulaya
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Real Madrid yaua, yatinga fainali
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Real Madrid wang'ara Ligi ya Mabingwa