Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Real Madrid v Man City: Kwanini Pep Guardiola huenda akafanya maaajabu katika Ligi ya Mabingwa Ulaya

Marufuku ya kucheza kwa miaka miwili ligi hiyo kuanzia msimu ujao - inastahili kuwapa motisha City.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

NANI KWENDA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO, NI BINGWA MTETEZI REAL MADRID AU ATLETICO MADRID

Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti ( mwenye kofia ) akifuatilia mazoezi ya wachezaji wake kabla ya kurudiana na Atletico Madrid leo usiku.Wachezaji wa Real Madrid ( kutoka kushoto kwenda kulia ) Daniel Carvajal, Marcelo Vieira na Sami Khedira wakijifua tayari kuwakabili wapinzani wao Atletico Madrid leo usiku.
Baada ya mchezo watakumbatiana hivi!!! Kocha wa Real Madrd Carlo Ancelotti( kushoto ) akiwa na kocha wa Atletico Madrid, Diego Simeone. 
Robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya...

 

10 years ago

Mwananchi

Ligi ya Mabingwa Ulaya: Real Madrid yanusa robo fainali

Mechi za kwanza za marudiano katika hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya 2014/15 kuamua timu nane zitakazoingia robo fainali zitachezwa kesho na keshokutwa huku mechi nyingine zikimaliziwa wiki ijayo.

 

10 years ago

Vijimambo

TIMU YA JUVENTUS YATINGA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA BAADA YA KUIONDOSHA REAL MADRID

Mabingwa watetezi wa kombe la ligi ya mabingwa barani Ulaya, timu ya soka ya Real Madrid ya Hispania usiku wa kuamkia leo wamevuliwa ubingwa huo na bibi kizee cha Turin, Juventus ya Italia baada ya kulazimishwa sare ya kufungana bao 1-1. 
Katika mchezo huo wa marudiano wa hatua ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya, Juventus imesonga mbele kwa idadi ya mabao 3-2. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Italia, Juventus iliifunga Real Madrid magoli 2-1. Katika mchezo wa usiku wa kuamkia leo,...

 

10 years ago

Mwananchi

Man City wapewa Barca 16 bora Ligi ya Mabingwa Ulaya

Nyon, Uswisi. Droo ya hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imepangwa jana huku Manchester City wakikutana na Barcelona.

 

10 years ago

Mwananchi

Man City, Liverpool zaingia vitani Ligi ya Mabingwa Ulaya

Klabu za Ligi Kuu England zina kibarua kigumu cha kufuzu kucheza hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya leo na kesho.

 

5 years ago

Manchester Evening News

How Man City squad reacted to Pep Guardiola contract statement

How Man City squad reacted to Pep Guardiola contract statement  Manchester Evening NewsManchester City Defeat Leicester Away, 1-0: Reaction & Tweets  Bitter and BlueLeicester 0-1 Manchester City: Foxes stake Champions League claim  SquawkaLaporte gives Man City renewed hope of Champions League success  Goal.comManchester City v Leicester City - Premier League Matchday 27: Preview, Team News and Prediction  Bitter and BlueView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Mirror Online

Man City announce Pep Guardiola's mother has died from coronavirus

Man City announce Pep Guardiola's mother has died from coronavirus  Mirror OnlinePep Guardiola's mother dies after contracting coronavirus  Sky SportsPep Guardiola's mother dies from coronavirus at the age of 82, Manchester City confirm  Daily MailGuardiola's mother dies after contracting coronavirus, Man City confirm  GoalBREAKING: Pep Guardiola’s mother dies from coronavirus just weeks after he donated £920,000 to Spain  Euro Weekly NewsView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Liverpool Echo

Liverpool thrashed Man City to show Pep Guardiola they were his biggest threat

Liverpool thrashed Man City to show Pep Guardiola they were his biggest threat  Liverpool EchoMythbuster: 'Fraudiola'! Pep is nothing without Messi  GoalAguero and Iniesta miss out on Ultimate Pep Guardiola XI  WhoScored.comPremier League proposed rule change would suit Man City coach Pep Guardiola  Manchester Evening NewsMan City set sights on three Inter deals as Pep Guardiola identifies transfer targets  Express.co.ukView Full coverage on Google...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani