FC BARCELONA YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA KWA JUMLA YA MABAO 5-3

Timu ya soka ya Bayern Munich ya Ujerumani usiku wa kuamkia leo wameshuhudia wakishindwa kufuzu kucheza fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya baada ya kujikuta wakiondolewa na FC Barcelona kwa jumla ya mababo 5-3.
Wakicheza katika uwanja wao wa nyumbani wa Allianz Arena uliofurika mashabiki wenye pumzi ya kushangilia bila kuchoka, Bayern waliokuwa na kibarua cha kuifunga Barcelona mabao 4-0 ili wasonge mbele hatua ya fainali, walijikuta wakimaliza dakika 90 za mchezo huo wakiwa na ushindi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
BARCELONA YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA
11 years ago
GPL
ATLETICO MADRID YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA
11 years ago
GPL
BARCELONA, PSG ZATINGA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA
10 years ago
GPL
10 years ago
Vijimambo
TIMU YA JUVENTUS YATINGA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA BAADA YA KUIONDOSHA REAL MADRID


Katika mchezo huo wa marudiano wa hatua ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya, Juventus imesonga mbele kwa idadi ya mabao 3-2. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Italia, Juventus iliifunga Real Madrid magoli 2-1.

10 years ago
GPL
BAYERN MUNICH, BARCELONA ZATINGA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA
10 years ago
GPL
BAYERN MUNICH KUKWAANA NA BARCELONA KATIKA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO
10 years ago
GPL
BARCELONA WATWAA KOMBE LA LIGI YA MABINGWA ULAYA
10 years ago
GPL