Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BARCELONA, PSG ZATINGA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA

Lionel Messi akishangilia na wachezaji wenzake wa Barcelona baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 67. Pablo Zabaleta wa Man City akitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kupewa kadi ya pili ya njano.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BAYERN MUNICH, BARCELONA ZATINGA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA

Wachezaji wa Bayern Munich wakishangilia ushindi wao dhidi FC Porto jana. Neymar (juu) akishangilia na Mbrazil mwenzake Dani Alves baada ya kufunga bao la pili jana. Robert Lewandowski akiifungia Bayern bao la tatu dakika ya 27.…

 

10 years ago

Mwananchi

Ligi ya Mabingwa Ulaya: Real Madrid yanusa robo fainali

Mechi za kwanza za marudiano katika hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya 2014/15 kuamua timu nane zitakazoingia robo fainali zitachezwa kesho na keshokutwa huku mechi nyingine zikimaliziwa wiki ijayo.

 

10 years ago

GPL

BARCELONA YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA

Neymar, Luis Suarez na Lionel Messi wakishangilia bao. BARCELONA imefanikiwa kufuzu hatua ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya licha ya kufungwa mabao 3-2 na Bayern Munich usiku huu jijini Munich nchini Ujerumani. Thomas Muller akiifungia Bayern bao la tatu usiku huu. Barcelona imefuzu kwa jumla ya mabao 5-3 baada ya kupata ushindi wa 3-0 katika mechi yao ya kwanza ya nusu fainali dhidi ya Bayern huko Hispania.… ...

 

10 years ago

Vijimambo

FC BARCELONA YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA KWA JUMLA YA MABAO 5-3

Timu ya soka ya Bayern Munich ya Ujerumani usiku wa kuamkia leo wameshuhudia wakishindwa kufuzu kucheza fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya baada ya kujikuta wakiondolewa na FC Barcelona kwa jumla ya mababo 5-3. 
Wakicheza katika uwanja wao wa nyumbani wa Allianz Arena uliofurika mashabiki wenye pumzi ya kushangilia bila kuchoka, Bayern waliokuwa na kibarua cha kuifunga Barcelona mabao 4-0 ili wasonge mbele hatua ya fainali, walijikuta wakimaliza dakika 90 za mchezo huo wakiwa na ushindi...

 

10 years ago

GPL

BAYERN MUNICH KUKWAANA NA BARCELONA KATIKA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO

MECHI:     Bayern Munich vs Barcelona LIGI:         Ligi ya Mabingwa Ulaya HATUA:    Nusu Fainali MUDA:     Saa 3:45 usiku UWANJA: Allianz Arena

 

11 years ago

GPL

MAN U, BARCELONA ROBO FAINALI ULAYA

MANCHESTER, England Moyes bana, asema: Man U itakuwa bingwa wa Ulaya
KITENDO cha Robin van Persie, kufunga mabao matatu ‘hat trick’ katika mechi dhidi ya Olympiacos, siyo tu kimempa sifa straika huyo ila kuna mengi nyuma ya pazia ambayo ameweza kuyafunika ndani ya dakika 90 za mechi hiyo ya juzi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Robin van Persie akishangilia moja ya bao lake aliloifungia timu yake katika mechi dhidi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani