Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FORBES: BILL GATES NI TAJIRI NAMBA MOJA DUNIANI

Mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft, Bill Gates. Bwanyenye mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft , Bill Gates, ndiye tajiri nambamoja duniani kwa mwaka wa pili mfululizo. Kwa mujibu wa takwimu za jarida la Forbes ambalo huchapiShwa mara moja kila mwaka, Bill Gates ameorodheshwa kumiliki zaidi ya dola bilioni 79.2. Mfanyibiashara kutoka Mexico, Carlos Slim… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Forbes:Bill Gates ni tajiri zaidi duniani

Bwenyenye mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft, Bill Gates ndiye tajiri nambari moja duniani

 

11 years ago

Mwananchi

Mchafu namba moja duniani atafuta mwenza

Tehran. Mtu aliyetajwa kuwa mchafu kuliko wote duniani, Amou Haji (80) amesema anajisikia mpweka na sasa anahitaji mwenza wa kusihi naye.

 

11 years ago

TheCitizen

Gates back to Forbes’ richest list

The surging price of Microsoft shares returned US tech tycoon Bill Gates back to the top of Forbes’ world’s billionaires list, with his $76 billion beating out Mexico’s Carlos Slim’s $72 billion.

 

10 years ago

BBCSwahili

FORBES lamtaja mwanamichezo tajiri

MCHEZAJI mkongwe wa mpira wa kikapu nchini Marekani, Michael Jordan ndiye mwanamichezo pekee bilionea ulimwenguni.

 

10 years ago

Dewji Blog

9 years ago

Bongo5

Africa’s 50 Richest (Forbes): Dewji ni namba 21, aongoza Tanzania

620x434

Forbes wametoa orodha ya watu 50 matajiri zaidi barani Afrika.

620x434

Nafasi ya kwanza imeendelea kushikiliwa na bilionea wa Nigeria, Aliko Dangote mwenye utajiri wa dola bilioni 16.7.

Mwenyekiti Mtendaji wa METL, Mohammed Dewji amekamata nafasi ya 21 kwenye orodha hiyo akiwa na utajiri wa dola bilioni 1.1. Dewji anaendelea kuwa tajiri namba moja nchini Tanzania.

Rostam Aziz amekamata nafasi ya 25 kwa utajiri wa dola milioni 900 huku Said Salim Bakhresa akikamata nafasi ya 36 kwa kuwa na utajiri...

 

10 years ago

Mwananchi

Msaada wa Bill Gates kunufaisha wakulima

Taasisi ya kimataifa ya bilionea Bill Gates na mkewe Melinda, Bill & Melinda Gates Foundation, imetoa Dola 6 milioni za Marekani ambazo ni Sh10.8 bilioni ili kusaidia mradi wa kuboresha kilimo cha ndizi na viazi vitamu Tanzania, Uganda na Ethiopia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bill Gates anywa maji ya kinyesi

Bill Gates amekunywa maji yaliyotengezwa kutokana na kinyesi cha binaadamu kama maonyesho ya teknolojia mpya ya maji safi

 

9 years ago

Bongo5

Video: Rick Ross — Bill Gates

While he readies his new album Black Market, Rick Ross continues to roll out new music and videos. Fresh off his remixes to “White Iverson” and “Stick Talk,” Rozay debuts a video for “Bill Gates” off September’s Black Dollar mixtape. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani