Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gates back to Forbes’ richest list

The surging price of Microsoft shares returned US tech tycoon Bill Gates back to the top of Forbes’ world’s billionaires list, with his $76 billion beating out Mexico’s Carlos Slim’s $72 billion.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

2014 Africa’s 50 Richest List on Forbes

Untitled

Untitled 1

Follow this link to see the full list http://www.forbes.com/africa-billionaires/list/

 

9 years ago

Bongo5

Africa’s 50 Richest (Forbes): Dewji ni namba 21, aongoza Tanzania

620x434

Forbes wametoa orodha ya watu 50 matajiri zaidi barani Afrika.

620x434

Nafasi ya kwanza imeendelea kushikiliwa na bilionea wa Nigeria, Aliko Dangote mwenye utajiri wa dola bilioni 16.7.

Mwenyekiti Mtendaji wa METL, Mohammed Dewji amekamata nafasi ya 21 kwenye orodha hiyo akiwa na utajiri wa dola bilioni 1.1. Dewji anaendelea kuwa tajiri namba moja nchini Tanzania.

Rostam Aziz amekamata nafasi ya 25 kwa utajiri wa dola milioni 900 huku Said Salim Bakhresa akikamata nafasi ya 36 kwa kuwa na utajiri...

 

10 years ago

BBCSwahili

Forbes:Bill Gates ni tajiri zaidi duniani

Bwenyenye mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft, Bill Gates ndiye tajiri nambari moja duniani

 

10 years ago

Bongo5

Africa’s 50 Richest (Forbes 2014): Rostam, Dewji, Bakhresa na Mengi waingia!

Orodha mpya ya watu 50 tajiri zaidi barani Afrika, Africa’s 50 Richest imetolewa wiki hii. Rostam Aziz Watanzania wanne wameingia kwenye orodha hiyo iliyoongozwa na mfanyabiashara wa Nigeria, Aliko Dangote mwenye utajiri ufikao dola bilioni 21.6. Rostam Aziz ameendelea kuwa mtu tajiri zaidi nchini Tanzania na kukamata nafasi ya 26 kwenye orodha hiyo akiwa na […]

 

10 years ago

GPL

FORBES: BILL GATES NI TAJIRI NAMBA MOJA DUNIANI

Mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft, Bill Gates. Bwanyenye mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft , Bill Gates, ndiye tajiri nambamoja duniani kwa mwaka wa pili mfululizo. Kwa mujibu wa takwimu za jarida la Forbes ambalo huchapiShwa mara moja kila mwaka, Bill Gates ameorodheshwa kumiliki zaidi ya dola bilioni 79.2. Mfanyibiashara kutoka Mexico, Carlos Slim… ...

 

9 years ago

Bongo5

2015 Forbes Africa’s 50 Richest: Dangote aongoza Afrika, Dewji aongoza Tanzania akifatiwa na Rostam

dangote-dewji-rostam

Jarida la Forbes limetoa orodha yake ya Matajiri 50 wa Afrika ‘2015 Forbes Africa’s 50 Richest People’, ambapo mwekezaji mkubwa wa Nigeria, Aliko Dangote ameshika nafasi ya kwanza kwa utajiri wa Dola Billion 16.5.

forbes1

Watanzania walioingia kwenye rodha hiyo ni Mohammed Dewji aliyeshika nafasi ya 21 kwa Afrika na namba moja kwa Tanzania, akifatiwa na Rostam Aziz aliyeshika namba 25 kwa Afrika na nafasi ya pili kwa Tanzania. Mwingine ni Said Salim Bakhresa aliyekamata nafasi ya 36 kwa Afrika na...

 

10 years ago

Vijimambo

Inside The 2015 Forbes Billionaires List: Facts And Figures

Despite plunging oil prices and a weakened euro, the ranks of the world’s wealthiest defied global economic turmoil and expanded yet again. For our 29th annual guide to the globe’s richest, we found a record 1,826 billionaires with an aggregate net worth of $7.05 trillion, up from $6.4 trillion a year ago.  The total includes 290 newcomers, 71 of whom hail from China. Youth are on the rise: A record 46 among the ranks are under age 40. One earthward note: The average net worth of list...

 

11 years ago

TheCitizen

Mayweather knocks Tiger off Forbes ‘highest-paid’ list

Mayweather also topped the list with $85 million in 2012, ending 14-time major golf champion Woods’ run atop the 100-athlete list from 2001-2011.

 

11 years ago

GPL

JARIDA LA FORBES LIMEMTANGAZA BEYONCE KAMA 'MOST POWERFUL CELEBRITY IN THE WORD' KATI YA MASTAA 100 WALIOKUWA KWENYE LIST YAO.

Kwa mujibu wa Forbes magazine, Beyonce anashikilia rekodi ya mkwanja mrefu akimfunika hadi mumewe Jay Z na mastaa wengine kama Oprah Winfrey,Rihanna na wengine ambao wako kwenye list chini hapo.Angalia orodha ya mastaa 10 wenye utajiri mkubwa na kiasi walichovuna kutoka mwezi June mwaka 2013 mpaka June 2014 ..

1. Beyonce: $115million
2. LeBron James - $72million,
3. Dr. Dre - $620million
4.Oprah Winfrey-  $82million
5....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani