Africa’s 50 Richest (Forbes): Dewji ni namba 21, aongoza Tanzania
Forbes wametoa orodha ya watu 50 matajiri zaidi barani Afrika.
Nafasi ya kwanza imeendelea kushikiliwa na bilionea wa Nigeria, Aliko Dangote mwenye utajiri wa dola bilioni 16.7.
Mwenyekiti Mtendaji wa METL, Mohammed Dewji amekamata nafasi ya 21 kwenye orodha hiyo akiwa na utajiri wa dola bilioni 1.1. Dewji anaendelea kuwa tajiri namba moja nchini Tanzania.
Rostam Aziz amekamata nafasi ya 25 kwa utajiri wa dola milioni 900 huku Said Salim Bakhresa akikamata nafasi ya 36 kwa kuwa na utajiri...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo520 Nov
2015 Forbes Africa’s 50 Richest: Dangote aongoza Afrika, Dewji aongoza Tanzania akifatiwa na Rostam
![dangote-dewji-rostam](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/dangote-dewji-rostam-300x194.jpg)
Jarida la Forbes limetoa orodha yake ya Matajiri 50 wa Afrika ‘2015 Forbes Africa’s 50 Richest People’, ambapo mwekezaji mkubwa wa Nigeria, Aliko Dangote ameshika nafasi ya kwanza kwa utajiri wa Dola Billion 16.5.
Watanzania walioingia kwenye rodha hiyo ni Mohammed Dewji aliyeshika nafasi ya 21 kwa Afrika na namba moja kwa Tanzania, akifatiwa na Rostam Aziz aliyeshika namba 25 kwa Afrika na nafasi ya pili kwa Tanzania. Mwingine ni Said Salim Bakhresa aliyekamata nafasi ya 36 kwa Afrika na...
10 years ago
Bongo521 Nov
Africa’s 50 Richest (Forbes 2014): Rostam, Dewji, Bakhresa na Mengi waingia!
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
2014 Africa’s 50 Richest List on Forbes
Follow this link to see the full list http://www.forbes.com/africa-billionaires/list/
11 years ago
TheCitizen09 Mar
Gates back to Forbes’ richest list
10 years ago
Bongo503 Mar
Forbes 2015: Dewji amtoa Rostam Aziz kwenye nafasi ya kwanza kama mtu tajiri zaidi Tanzania!
10 years ago
Bongo513 Nov
Jarida la ‘Ventures Africa’ lamtaja Dewji bilionea namba moja Tanzania
10 years ago
Mwananchi04 Mar
FORBES: Dewji sasa bilionea kijana Afrika
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vu2giU6L5Odw9fgRj5OPdvAM3*Fs4gXrwbrj3h0oRaq5wH2GFP*sd*zOTPtRyKyvaSr6igurjcycrTFYb1crcI9mEYw4su-t/11021250_946535928725068_3604363840028674416_n.jpg?width=650)
FORBES: BILL GATES NI TAJIRI NAMBA MOJA DUNIANI
9 years ago
Bongo528 Nov
Dewji ambwaga rais wa Nigeria na kushinda tuzo ya Forbes, ‘Person Of The Year 2015’
![12246983_1045350848843660_8510001966156339010_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12246983_1045350848843660_8510001966156339010_n-300x194.jpg)
Mwenyekiti Mtendaji wa METL, Mohammed Dewji amembwaga rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari na wengine watatu kwenye kinyang’anyiro cha tuzo za ‘Forbes Africa’s Person Of The Year 2015’ zilizotolewa jana.
“Congratulations to Tanzanian businessman and philanthropist extraordinaire, Muhammed Dewji on being named Forbes Africa’s Person Of The Year 2015. #FAPOY2015,” wameandika Forbes
Akipokea tuzo hiyo Dewji alidai kuitoa kwa vijana wa Tanzania.
Ushindi huo unakuja baada ya hivi karibuni...