Jarida la ‘Ventures Africa’ lamtaja Dewji bilionea namba moja Tanzania
Mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji (39), ametajwa kuwa ndiyo bilionea namba moja nchini kwa sasa, akifuatiwa na Rostam Aziz (49). Kwa mujibu wa ripoti ya Jarida la Ventures Africa lililotolewa jana, wafanyabiashara hao ndiyo Watanzania pekee waliongia kwenye orodha ya mabilionea 55 barani Afrika. Dewji, ambaye pia ni mbunge wa Singida Mjini kwa tiketi ya […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Dewji bilionea namba moja, Rostam Aziz anamfuatia
10 years ago
Vijimambo22 May
Uongozi wa Ndanda FC unajipanga kukutana na bilionea namba moja barani Afrika
Bilionea Aliko Dangote
Uongozi wa Ndanda FC unajipanga kukutana na bilionea namba moja barani Afrika, Aliko Dangote kwa ajili ya kumuomba kuwa mmoja wa wadhamini wa juu katika timu hiyo kabla msimu ujao haujaanza.
Salehjembe ameripoti kwamba mwenyekiti wa Ndanda FC, Hamad Omari alisema licha ya kuwa na udhamini wa Kampuni ya Binslum na Big Tanzania, lakini wanajipanga kumuona tajiri huyo anayemiliki kiwanda cha saruji kwenye mkoa wao.
“Tunafikiria kufanya mikakati ya kuweza kukutana naye ili...
9 years ago
Bongo520 Nov
Africa’s 50 Richest (Forbes): Dewji ni namba 21, aongoza Tanzania
Forbes wametoa orodha ya watu 50 matajiri zaidi barani Afrika.
Nafasi ya kwanza imeendelea kushikiliwa na bilionea wa Nigeria, Aliko Dangote mwenye utajiri wa dola bilioni 16.7.
Mwenyekiti Mtendaji wa METL, Mohammed Dewji amekamata nafasi ya 21 kwenye orodha hiyo akiwa na utajiri wa dola bilioni 1.1. Dewji anaendelea kuwa tajiri namba moja nchini Tanzania.
Rostam Aziz amekamata nafasi ya 25 kwa utajiri wa dola milioni 900 huku Said Salim Bakhresa akikamata nafasi ya 36 kwa kuwa na utajiri...
11 years ago
GPLUSIKU WA MATUMAINI; TAMASHA NAMBA MOJA TANZANIA
10 years ago
Dewji Blog19 May
Tanzania sasa namba moja kwa utalii
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Wizara ya Maliasili na Utalii
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kama ilivyoripotiwa na kituo cha utangazaji cha CNN cha nchini Marekani, napenda kutumia fursa hii kuwajulisha kuwa nchi yetu imeendelea kufanya vizuri duniani katika kunadi vivutio vya utalii vilivyoko hapa nchini. Hii inatokana na hatua madhubuti tulizochukua kama nchi, katika suala zima la uhifadhi hasa kwenye ulinzi wa maliasili zetu dhidi ya...
10 years ago
Michuzi19 May
10 years ago
Vijimambo04 Mar
Dewji sasa bilionea kijana Afrika
10 years ago
Mwananchi04 Mar
FORBES: Dewji sasa bilionea kijana Afrika
10 years ago
Michuzi05 Jun